Uchaguzi 2020 Fomu namba 8A ndiyo itakayombana Tundu Antipas Lissu, ni ya Maadili ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Fomu namba 8A ndiyo itakayombana Tundu Antipas Lissu, ni ya Maadili ya Uchaguzi

Tutakumbushana mbele ya safari bwashee!
Kwani ushatoka msibani?
tapatalk_1593965156914.jpeg
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Huko kwa Jaji kwenyewe ataenda?
 
Hivi kuna mtu mwenye jazba, hasira, kisirani na mropokaji hapa Tanzania kumzidi Meko?
 
Tulisha yaona mengi sana kama haya. Kwanza can somebody tell us who are these!? Wanamtaja Lissu kama 'client" wao, hawa ni mawakili wake wapya au ni akina nani? Halafu hawa mabeberu hawabadiliki, they cannot go with time, hivi wanadhani bado kuna nchi za Kiafrika zinawezwa kutishwa na upuuzi kama huu? This is just a cheapacademic exercise done by unchanging neocolonialists who still think they can intimidate and direct us what to do. Sasa wamwambie hyo "client" wao kuwa akivunja sheria za nchi hii, haijarishi ni mgombea au mgombewa, atashughulikiwa tu na halafu tuone hao watetezi wake watafanya nini. Halafu hebu waambieniau waulizeni mbona kwenye hiyo orodha ya walengwa Gen. Mabeyo hayumo? KULIKONI?



Mabeyo nimeona naye katajwa, mweh jamaa wana mikwara hawa....
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake. Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Eti munkari, jazba na mizuka! Kama fomu hii iliyobatizwa namba 8A ingetumika kwa wagombea wote wa Urais, leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hangekuwa huyu wa sasa. Kama hata Katiba yenyewe inayotoa ruhusa ya uwepo wa fomu kama hiyo ameshindwa kuilinda, kuiheshimu na kuitetea sembuse hii ya mjukuu wa Katiba!

Mada ya kipuuzi kama hii ingeweza kuletwa humu na mtu moja tu anayejiita johnthebaptist, hakuna mwingine.
 
Eti munkari, jazba na mizuka! Kama fomu hii iliyobatizwa namba 8A ingetumika kwa wagombea wote wa Urais, leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hangekuwa huyu wa sasa. Kama hata Katiba yenyewe inayotoa ruhusa ya uwepo wa fomu kama hiyo ameshindwa kuilinda, kuiheshimu na kuitetea sembuse hii ya mjukuu wa Katiba!

Mada ya kipuuzi kama hii ingeweza kuletwa humu na mtu moja tu anayejiita johnthebaptist, hakuna mwingine.
Utanikumbuka bwashee!
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Mnatunga kanuni kuwabana Wagombea au kuratibu uchaguzi huru na haki??
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Akili finyu inafikiria kubanana tu.
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
wewe zuzu kweli kweli karne hii bado unataka watu waondoane kwenye uchaguzi kwa mapingamizi. mmezoea mizengwe kama ile ya serikali za mitaa 2019
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Mkimuondoa Lissu wetu nchi itasimama.
 
kwa ujasiri na akili alizonazo nafkiri njia sahihi ya kushindana naye ni hiyo maaana alitakiwa awe marehemu ila Mungu kakataaa
 
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.

Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.

Ni katika kukumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
ila mimi sioni tofauti ya Mh.JPM na Lissu kwa maaana ya Munkari, au jazba sema tofauti yao huyu mmoja ana machungu ya kutaka kuuwawa na pengine akiamini wahusika serikali imeshindwa kuwakamata.

Kwa hiyo kama ni kupigwa spana hata kama ni katikati ya kampeni wote yanaweza kuwapata. Ila kwa tume yote nazani itakuwa inaangalia goli upande mmoja tu
 
Back
Top Bottom