johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Risasi muulizeni Dr Mollel!Umeulizwa risasi ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Risasi muulizeni Dr Mollel!Umeulizwa risasi ngapi?
Kwani ushatoka msibani?Tutakumbushana mbele ya safari bwashee!
Hizo mnaziweza ila kwenye box la kura mko wepesi sana!Kwani ushatoka msibani? View attachment 1529082
Huko kwa Jaji kwenyewe ataenda?Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Tulisha yaona mengi sana kama haya. Kwanza can somebody tell us who are these!? Wanamtaja Lissu kama 'client" wao, hawa ni mawakili wake wapya au ni akina nani? Halafu hawa mabeberu hawabadiliki, they cannot go with time, hivi wanadhani bado kuna nchi za Kiafrika zinawezwa kutishwa na upuuzi kama huu? This is just a cheapacademic exercise done by unchanging neocolonialists who still think they can intimidate and direct us what to do. Sasa wamwambie hyo "client" wao kuwa akivunja sheria za nchi hii, haijarishi ni mgombea au mgombewa, atashughulikiwa tu na halafu tuone hao watetezi wake watafanya nini. Halafu hebu waambieniau waulizeni mbona kwenye hiyo orodha ya walengwa Gen. Mabeyo hayumo? KULIKONI?
Eti munkari, jazba na mizuka! Kama fomu hii iliyobatizwa namba 8A ingetumika kwa wagombea wote wa Urais, leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hangekuwa huyu wa sasa. Kama hata Katiba yenyewe inayotoa ruhusa ya uwepo wa fomu kama hiyo ameshindwa kuilinda, kuiheshimu na kuitetea sembuse hii ya mjukuu wa Katiba!Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake. Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Kampeni za kistaarabu!
Utanikumbuka bwashee!Eti munkari, jazba na mizuka! Kama fomu hii iliyobatizwa namba 8A ingetumika kwa wagombea wote wa Urais, leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hangekuwa huyu wa sasa. Kama hata Katiba yenyewe inayotoa ruhusa ya uwepo wa fomu kama hiyo ameshindwa kuilinda, kuiheshimu na kuitetea sembuse hii ya mjukuu wa Katiba!
Mada ya kipuuzi kama hii ingeweza kuletwa humu na mtu moja tu anayejiita johnthebaptist, hakuna mwingine.
Mnatunga kanuni kuwabana Wagombea au kuratibu uchaguzi huru na haki??Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Akili finyu inafikiria kubanana tu.Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
wewe zuzu kweli kweli karne hii bado unataka watu waondoane kwenye uchaguzi kwa mapingamizi. mmezoea mizengwe kama ile ya serikali za mitaa 2019Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Soma vizuri hiyo post, kisha ureply kinachotakiwaMkuu bado unawaza ajira kabisa
Jiajiri kazi kubadiri smart fone tu.
Mkimuondoa Lissu wetu nchi itasimama.Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Endelea kukariri bwashee!wewe zuzu kweli kweli karne hii bado unataka watu waondoane kwenye uchaguzi kwa mapingamizi. mmezoea mizengwe kama ile ya serikali za mitaa 2019
Naona unatudhihirishia akili zako za "Ku- jitombashisho "
Mara ya ngapi kupiga kura weeeJiwe wako akishinda kwa halali hakuna noma, lakini safari hii akitaka abebwe na tume, mapolisi na usalama wa Taifa, ndipo mtakapojua hamjui.
ila mimi sioni tofauti ya Mh.JPM na Lissu kwa maaana ya Munkari, au jazba sema tofauti yao huyu mmoja ana machungu ya kutaka kuuwawa na pengine akiamini wahusika serikali imeshindwa kuwakamata.Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa Urais mbele ya Jaji wa Mahakama Kuu. Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea. Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!