johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Vingine ni vya Pemba!Bashiru ameanza kusema watashinda ‘viti’ vingi, sio tena zile upinzani hawataambulia kitu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingine ni vya Pemba!Bashiru ameanza kusema watashinda ‘viti’ vingi, sio tena zile upinzani hawataambulia kitu!
Lowassa anadunda hadi leo!Atafika tu kwa mapenzi ya Mungu. Na kwa mapenzi yake Mungu, wewe unaweza kutangulia kabla yake. Kuna wangapi wameaga Dunia, wengine kwa kuanguka tu, lakini Lisu wa risasi 18 yu hai mpaka leo. Na atakuwa hai kwa siku zake zote ambazo Mungu kampangia kuishi Duniani.
Na wale ibilisi wote wanaodhani wana uwezo wa kuamua nani aishi na nani asiishi watatangulia wao, na wengine watalemaa na kutojiweza, wakati Tundu Lisu akizidi kuwa imara zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi safari hii mmejipanga lakini mkumbuke kuna mq-9 reaperSafari hii mmejipanga na risasi ngapi?
HahahahahMke amtoe wapi hebu soma ID hiyo.
Lazima tufuatilie, maana tunaweza pata mteja wa jogoo kwa bei ya uchumi wa kati (tsh 100,000/= kwa jogoo)!Ahsante kwa kuifuatilia hotuba ya Rais Magufuli!
Hofu ya Jiwe juu ya Lissu imeshuka Mpaka chini kwa Vibaraka wake wa Lumumba.
Kila Mwana Lumumba anamuogopa Lissu
Yaani ni Kama Baba wa Nyumba aoneshe hofu Mahala Familia nzima itakuwa na hofu
Mmeamua kuja na 'risasi za aina nyingine'? Zinakwenda kushindwa kama zile za awali.Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa urais mbele ya Jaji wa mahakama kuu.
Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea.
Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Labda hamumfahamu Lissu, Nasema mnajifariji! Wait and seeFomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa urais mbele ya Jaji wa mahakama kuu.
Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea.
Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa urais mbele ya Jaji wa mahakama kuu.
Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea.
Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zinatafutwa kila aina ya Mbinu Chama tawala miaka 60 kinaogopa Act ina miezi tuKwanini mnataka kumuengua badala ya kwenda nae kwenye sanduku la kura, safari hii mtu ataruka kichura badala ya push up ngoja muda wa kampeni ufike
Jiwe amepanic yani ni mshamba kweli, hivi hayo maghorofa yametoa ajira ngapi kwa vijana tulio nao mtaaniHuo ushindi wa mezani msahau! Na kibano kutoka kwa Lissu kiko palepale!
Nimeona mgombea wenu anaonyesha magorofa. Hope dodoma wagogo wamegawiwa magorofa leo!
Halafu watu wakikuheshimu uwe unawarudishia heshima yao. Hivi wewe ni wa kuanzisha thread utopolo kama hii?Fomu hii namba 8A inatakiwa kujazwa na wagombea wa urais mbele ya Jaji wa mahakama kuu.
Ni ya kuahidi kulinda, kuheshimu na kuzingatia maadili ya uchaguzi na taratibu zake.
Ukitenda kinyume cha maadili ya uchaguzi unaweza kuenguliwa kwenye uchaguzi wakati kampeni zikiendelea.
Kwa hiyo wagombea wenye munkari, jazba na mizuka kama Ni Yeye wa CHADEMA hii ni spidi gavana.
Ni katika kukumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!