Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P.
Chadema ikifa ndio unapata faida gani zaidi ya kuendelea kuwa mjinga na mpumbavu.?
Lichama ndio linayoyoma ivyo. Shauri yako, wewe baki unajibaraguza tu.Labda ukoo wenu woote
In God we Trust
Ni " what GOES around comes around".
Amandla.......
Mawaziri wakuu wawili walihama kwa kipindi kisichozidi mwezi mmoja,ulikuja hapa kusema hayo unayosema?makatibu wakuu wawili wamekihama kwa muda sio zaidi ya miaka mitano, ni jambo la kufikirisha mno.
Kumbuka hawa ndio walikuwa watendaji wakuu. sasa wakihama jiulize nini kinaendelea humo ndani. Ni wazi kuwa kuna matatizo.
Utakufa wewe ila sio CHADEMA!R.I.P.