Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Hivi hujui kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi? Kama ndani ya mwaka wa uchaguzi dakika za mwisho Lowassa aliweza kuhamia CHADEMA, hukuona na hukushangaa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hujui kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi? Kama ndani ya mwaka wa uchaguzi dakika za mwisho Lowassa aliweza kuhamia CHADEMA, hukuona na hukushangaa?
Makatibu ndio wapiga kura? Ni wananchi wangapi wamehamia CCM? Sijui huwa unatumia kifaa cha namna gani kufikirimakatibu wakuu wawili wamekihama kwa muda sio zaidi ya miaka mitano, ni jambo la kufikirisha mno.
Kumbuka hawa ndio walikuwa watendaji wakuu. sasa wakihama jiulize nini kinaendelea humo ndani. Ni wazi kuwa kuna matatizo.
Kama wamepoteza aliyekuwa Katibu wa Chama ambaye aliletwa na mwenyekiti kuokoa jahazi basi ni wazi Chama hiki kamwe hakiwezi kuaminiwa na watanzania.
RiP Chadema.
VIVA WASSIRA kwa kutabiri haya.
Ni uwendawazimu kuamini kuwa Chadema itaweza kupata japo jimbo moja tu la Ubunge.
jibu swali acha kuweweseka;Walitumia mamlaka yao kubaki madaraka ni,rejea kauli ya mwambe,nyie watu kibano kikiwageukia huwa mnageuka hayawani kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
jibu swali acha kuweweseka;
Nimekuuliza hao madiwani walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wapiga kura wao?
Hiyo kauli ya mwambe siijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama kweli hawajanunuliwa,Ila kamwe sitoamini eti mtu aache stahiki zake za ubunge/udiwani kwasababu ya kuunga mkono juhudi bureeee,Kama hawajanunuliwa basi wamelogwahata ka chembe ka ushahidi, tuweke hpa mkuu, siyo kukaririshwa muda woote na story ya kununuliwa, mkiambiwa mjitathimini kwenye chama chenu na kutafuta tiba ya hama hama mnakimbilia neno hilo hilo huku ushahidi hamna, nani aliyenunuliwa ukaona hela yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wamepoteza aliyekuwa Katibu wa Chama ambaye aliletwa na mwenyekiti kuokoa jahazi basi ni wazi Chama hiki kamwe hakiwezi kuaminiwa na watanzania.
RiP Chadema.
VIVA WASSIRA kwa kutabiri haya.
Ni uwendawazimu kuamini kuwa Chadema itaweza kupata japo jimbo moja tu la Ubunge.
Stahiki zote jumla ni kiasi gani za fedha?jibu swali acha kuweweseka;
Nimekuuliza hao madiwani walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wapiga kura wao?
Hiyo kauli ya mwambe siijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiingereza ni kigumu kuliko mnavyodhani. Hamna usemi unaosema " What comes around goes around ". Uki Google utajua.