Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaaa....... Msema kweli ni mpenzi wa Mungu bwashee!Jo ungekuwa mnyama ningekulinganisha na kinyonga kwa jinsi unavyoweza kujibadili rangi... Tofauti na huyo ningeweza pia kukufananisha na popo [emoji23][emoji848][emoji144][emoji86]
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wa kutoka Pemba!Sioni mbunge hata mmoja wa Upinzani bungeni
Hiyo tunaita " kufungwa twafungwa lakini chenga twawala"........bwashee!Ngoja mikutano ianze utaona balaa lake
Kwa kweli Chadema imeshapitea kama NCCR mageuzi. Kosa kubwa alilofanya Mbowe ni kugombea tena Uenyekiti. Angekaa pembeni Leo hii angejizolea umaarufu mkubwa sana wa kukijenga chama mpaka kikawa chama kikuu cha Upinzani.
Mbowe ameua chama kwa akili na mikono yake mwenyewe. Kwa sasa kuna kaharufu ka kutambika tambika ndani ya Chadema na serikali ya CCM. Sasa watu wanaangalia wapi penye kondoo wa kutambika aliyenona. Wanaona bora CCM mana kuna ulaji wa nyama ya mabeberu ya tambiko.
Bora mtu ajiunge na Serikali apate posho kuliko kutambika ndani ya Chadema.
Amini ,amini ,amini nawaambia kiroho safi kabisa kuwa Wale wote wasio wa Ukanda na kabila la Mbowe watahama na kukimbilia kule kwenye serikali mana wataona ni bora tambiko la kule litawapa angalau hata Udiwani wa kuteuliwa. Karne ya 21 bado watu wanapeana madaraka kwa makabila ndani ya vyama.
Naona tunataka kutambika.
Kwa Heri Mwalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wa kutoka Pemba!
Hapo Ufipa kuna asiye na njaa?!!Chama hakiwezi kufa kwa kununua madiwani wenye njaa.
Kwa akili hizi ngoja Magufuli aendelee kujenga viwanja vya ndege kijijini kwake, majengo mazuri ya mahakama kwake, majengo mazuri ya TRA kwake, majengo mazuri ya benki kwake, hifadhi za wanyama kwake, viwanja bora vya mpira kwake, uteuzi wa viongozi wengi kutoka kanda ya ziwa,mpaka mnyooke ndo mtafikriwa kutupiwa mifupa kama mbwa koko.Tatizo la Chadema unaweza usijue katibu ni Nani na m, kiti ni nani?
Kila mtu kambale, kila mtu anatoa matamko
Ukihitilafiana kisiasa na m, kiti wapambe wake ndani ya chama watakupiga vijembe na matusi bila woga
Ni kama vile chama kimekuwa kama shule ya watoto watukutu,
Misingi ya siasa ni kuheshimiana na kusimamia KATIBA
Chama kisichofuhata katiba yake kinasambaratika kama makaratasi kwenye upepo
Unaweza usiamini kinachotokea Chadema si ccm wala polisi ccm
Chadema wanajimaliza wenyewe na sababu kubwa ni kuaminisha vijana kule ccm hakuna demokrasia, hakuna kushika madaraka kama si mtoto wa mkubwa
Ccm kuna mafisadi
Mwisho wa siku vijana wakatamani siasa hasa za Chadema
Wakajua huku Chadema kuna demokrasia, siasa bora na hakuna makundi
Mwisho wa siku vijana wakaja kugundua demokrasia ndani ya CDM hakuna,
Kuna ukabila, umimi na makundi walivyoingia kwa wingi 2005,2010, 2015 ndio hivyo hivyo wanavyo ondoka
Tatizo sasa nani anataka kufulia
Vijana wakitazama kwa jicho la mbali wanaona fulsa ipo ccm ya kupata umaarufu, vyeo, na kutengeneza maisha
Wanaikimbia CDM wanaona hakuna chama mbadala cha wao kupata umaarufu katika upinzani
Wanakwenda Ccm
Na Watakwenda makundi kwa makundi labda m, kiti mbowe ajiudhuru ili kuvunja makundi yake ya vijana maslahi
Wanaomlinda m, kiti
Chama kita kufa kama kilivyokufa NCCR mageuzi kwa kulewa SIFA
chama kikuu cha upinzani mwishowe(. Chaliiii kinabaki story...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wamepoteza aliyekuwa Katibu wa Chama ambaye aliletwa na mwenyekiti kuokoa jahazi basi ni wazi Chama hiki kamwe hakiwezi kuaminiwa na watanzania.
RiP Chadema.
VIVA WASSIRA kwa kutabiri haya.
Ni uwendawazimu kuamini kuwa Chadema itaweza kupata japo jimbo moja tu la Ubunge.
Kama wamepoteza aliyekuwa Katibu wa Chama ambaye aliletwa na mwenyekiti kuokoa jahazi basi ni wazi Chama hiki kamwe hakiwezi kuaminiwa na watanzania.
RiP Chadema.
VIVA WASSIRA kwa kutabiri haya.
Ni uwendawazimu kuamini kuwa Chadema itaweza kupata japo jimbo moja tu la Ubunge.
Ile ya Jecha kule Zanzibar ni Tume huru bwashee!Wapeni hiyo tume huru wanayotaka ndio mtajua. Kama mnajiamini mnapendwa mnaogopa nini kutoa tume?
Sent using Jamii Forums mobile app
👍! Kweli kabisaKama kuna vifo hatutakiwi kuvishangilia basi ni vya Taasisi aina ya Chadema kwasababu ya Utetezi wa Maswala ya Kijamii na Kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app