Tatizo la Chadema unaweza usijue katibu ni Nani na m, kiti ni nani?
Kila mtu kambale, kila mtu anatoa matamko
Ukihitilafiana kisiasa na m, kiti wapambe wake ndani ya chama watakupiga vijembe na matusi bila woga
Ni kama vile chama kimekuwa kama shule ya watoto watukutu,
Misingi ya siasa ni kuheshimiana na kusimamia KATIBA
Chama kisichofuhata katiba yake kinasambaratika kama makaratasi kwenye upepo
Unaweza usiamini kinachotokea Chadema si ccm wala polisi ccm
Chadema wanajimaliza wenyewe na sababu kubwa ni kuaminisha vijana kule ccm hakuna demokrasia, hakuna kushika madaraka kama si mtoto wa mkubwa
Ccm kuna mafisadi
Mwisho wa siku vijana wakatamani siasa hasa za Chadema
Wakajua huku Chadema kuna demokrasia, siasa bora na hakuna makundi
Mwisho wa siku vijana wakaja kugundua demokrasia ndani ya CDM hakuna,
Kuna ukabila, umimi na makundi walivyoingia kwa wingi 2005,2010, 2015 ndio hivyo hivyo wanavyo ondoka
Tatizo sasa nani anataka kufulia
Vijana wakitazama kwa jicho la mbali wanaona fulsa ipo ccm ya kupata umaarufu, vyeo, na kutengeneza maisha
Wanaikimbia CDM wanaona hakuna chama mbadala cha wao kupata umaarufu katika upinzani
Wanakwenda Ccm
Na Watakwenda makundi kwa makundi labda m, kiti mbowe ajiudhuru ili kuvunja makundi yake ya vijana maslahi
Wanaomlinda m, kiti
Chama kita kufa kama kilivyokufa NCCR mageuzi kwa kulewa SIFA
chama kikuu cha upinzani mwishowe(. Chaliiii kinabaki story...
Sent using
Jamii Forums mobile app