For CHADEMA Followers: What comes around goes around

Watabiri wa kifo cha CDM kutokea Lumumba mmeongezeka sana!Tabiri kama hizi zipo miaka nenda rudi!
Biashara ya kununua wapinzani inawatia upofu,mtaweza kutununua na wananchi?
 
Jo ungekuwa mnyama ningekulinganisha na kinyonga kwa jinsi unavyoweza kujibadili rangi... Tofauti na huyo ningeweza pia kukufananisha na popo [emoji23][emoji848][emoji144][emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa....... Msema kweli ni mpenzi wa Mungu bwashee!

Kwa sasa CCM inatembelea nyota ya Dr Magufuli...... Na huo ndio ukweli!
 
Ruzuku ale nani?
 
Chama hakiwezi kufa kwa kununua madiwani wenye njaa.
 
CHADEMA haifi kwa maneno ya Lumumba,na kuhama kwa wabunge na madiwani wa CHADEMA wanaouza utu wao siyo kipimo cha kifo cha CHADEMA, hiyo ni mbinu ya CCM ya kujipatia watu wakwenda kuwapa uongozi kwenye chama chao na serekali yao,baada ya kugundua kuwa CCM wote ni choka mbaya hawana uwezo wa kupewa uongozi hata wa serekali ya mtaa.
 
Kwa akili hizi ngoja Magufuli aendelee kujenga viwanja vya ndege kijijini kwake, majengo mazuri ya mahakama kwake, majengo mazuri ya TRA kwake, majengo mazuri ya benki kwake, hifadhi za wanyama kwake, viwanja bora vya mpira kwake, uteuzi wa viongozi wengi kutoka kanda ya ziwa,mpaka mnyooke ndo mtafikriwa kutupiwa mifupa kama mbwa koko.
 

Muaminishe hayo maneno mwenyekiti wenu halafu akubali kuwepo tume huru ya uchaguzi. Utajua ukweli halisi.
 
Kama kuna vifo hatutakiwi kuvishangilia basi ni vya Taasisi aina ya Chadema kwasababu ya Utetezi wa Maswala ya Kijamii na Kiuchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…