MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Kwani hapo kabla walikuwa wanachukua ruzuku?Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Msaliti ni msaliti tu, huwezi kuwa msaliti ukasavaivu popoteACT imeshaimarika Zanzibar, Mdee na wenzake (kama watahamia) watakiimarisha Bara.
Hahahaha hii propaganda ya kitoto ipeleke nursery.Chama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Ila hawataweza kuaminika tenaKazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.
Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.
Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.
Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
Ni kweli na nawasifu Sana Chadema kutomgusa AIDA KENANI Kwa kuheshimu maamuzi ya wananchi wa Nkasi waliopiga Kura zào na kuzilinda mbali ya mabomu ya machozi waliyopigwa siku nzima lakini hawakuondoka uwanja wa Sabasaba walikojikisanya kusubiri matokeo karibu na ofisi za Halmashauri ya Nkasi. Wananchi walioamua kuwapa Udiwani Madiwani zaidi ya 5 mbali ya dhuluma zilizofanyika kwenye Kata nyingine.Chadema haina shida na Ubunge wao, Cha msingi ni kwamba imewakataa na kwa Sasa chadema Ina mwakilishi mmoja bungeni pekee yake.
Nduguyai unateseka ukiwa wap????Chama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Anazungumziwa Mwendazake kwa vile yeye ndio chanzo cha matokeo ya akina Halima Mdee, Bulaya na wenzao 17 wa CHADEMA, Mwendazake ametuharibia sana Bunge bora na siasa safi kwa maslahi yake binafsi na sio ya Taifa.Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii
Mdee ahamie UVCCM
Halafu waliotajwa kuwa wahuni wataenda kutoa ushahidi mahakamani?Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.
Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.
Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.
Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
Hofu yenu dhidi ya intellectual doubl ZACT hakina future huku bara, ni afafhali waende kwenye kile chama kipya cha Umoja.
Yule ni mzee Halima na umri wa kujiunga ktk hyo jumuiya ya chama chakavu umeshapita
Kama chama kinamtambua kenan Basi wanehalalisha uchaguzi 2020 hivyo wapeleke majina hakuna namna.Rufaa imeshasikilizwa na baraza kuu ndio chombo Cha mwisho. Halafu wale kwa Sasa hawana chama na pia kuhusu kuondoka bungeni hilo ni juu ya spika. Ila chadema kwa Sasa Ina mbunge mmoja tu kenan wa nkasi.
Naona hata wewe wanyanyasika mama jeskaChama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Kwa sasa Chadema na Serikali wanataka kuweka mambo sawa hivyo huko Mahakamani watakuwa wanapoteza mudaWakitumia mbinu ya kupeleka shauri mahakamani, watavuta muda. Bungeni wapo sana tu. Case study ni kilichotokea kwa Zitto enzi zile.
Watakuwa wapumbavu kujiunga na chama cha zitto , kwa kuwa hicho chama ni mfu zaidi ya mfuNdicho nilichokisema. Mbinu ya kukimbilia mahakamani ndio short term goal sahihi itakayowasaidia kwa lengo la ku-buy time. Zitto bila shaka atatumia fursa hii vizuri kurudisha ubest wake wa nguvu na pacha wake wa kitambo Halima Mdee na kukiimarisha zaidi chama chake.
Je na wao wakifunguliwa kesi ya kugushi?Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
Chama chochote kitakacho wachukua hawa kitafanikiwa kuipiga vibaya mno chadema.Nduguyai unateseka ukiwa wap????
Huu ndiyo ukweli. Na kwenye kikao walienda tu ili wawe vizuri kwenye rufaa yao. Nashangaa watu wanavyojenga matuamaini eti wametimuliwa.Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??