Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
kaka mi nakukubali sana, unamisimamo ya kiume, ulicho ongea ni kweli, hata yeye maelezo yake alikomaa sana, kabadilisha broker 3, kaacha kutumie indicator baada ya kuona zinampoteza hayo yote maana yake alitumia real account baada ya kuona analoose ndo akajifunza, mimi naona kama mtu hayuko radhi kupoteza hata $200 hawezi kuijua hii biashara na kufanikiwa baadae, yeye kasema alichoma account
 
 
Ukiyeweka uzi huu,tell us where we can see you and join please let us know your contacts seriously
 
Hilo ni la muhimu sana huwezi kutrade account yenye hela ndefu haikupi uhalisia mm yangu nimeset $50 mpaka nimefikisha $70 na lot size ndogo[emoji5] [emoji5]
 
Mkuu maswali mengi umeuliza yameshajibiwa,pitia Uzi wote,mfano brokers alisema ametumia XM,Etoro,Hot forex na now kawakubali zaidi JPmarkets.lot size hata Leo kasema alitumia0.01
 
Mkuu kuna darasa na mentor,je wewe una mentor tayari?
 
Duh hizi nondo zilizopo kwenye ASTROFX ni hatari yaani kinaeleweka vizuri kwani image zilizoko zinakufanya hata uweze kufanya practice barikiwa sana wadau hapa ni mwendo mdundo,yaani kuliko ucheze mchezo wa kubet wa mpira bora upate dollar mbili kwa siku hakika ina thamani sana
 
Hicho kitabu ni noma mkuu!!
 
Nimeona kitu kama hiko.
Ila ni vizuri kuona kitabu kinasemaje.
"Kiu ya Mafanikio haichagui cha kusoma"
kwney ile webinar moja niliatend juzi nikalike paje ya jamaa sasa naona signal provider wananiwinda kama swala kila mtu anaifuate private akitaka aniuzie signal nikiwaambia mimi ni newbie wananiambia watanicoach, Nimewakatalia nimewaambia nahitaji kujua kwanza ninachokifanya kabla ya kuuziwa signal ila WANAFORCE mpaka mwisho.

sina intention ya kuanza kununua signals

ILA HAPA ninaomba ushauri kuhusu hawa Signal provider, kuelewa YUPI NI MKWELI NA YUPI NI MUONGO?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…