Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi sana. Waweza anza sasaNaweza Anza this bisness now or nimechelewa?
Way forward?I need good direction how to start?Umewahi sana. Waweza anza sasa
Duuh imenibidi nicheck profile yako kumbe Leo ndo umejoin.Naweza Anza this bisness now or nimekuelewa
Ok anatumia jina gan?Duuh imenibidi nicheck profile yako kumbe Leo ndo umejoin.
Ontario hayupo jf siku hizi mfuate instagram
Kwani ni lazima amfuate Ontario mkuu hata wewe waweza kumpa mwongozoDuuh imenibidi nicheck profile yako kumbe Leo ndo umejoin.
Ontario hayupo jf siku hizi mfuate instagram
Mm mwenyewe bado newbie.Kwani ni lazima amfuate Ontario mkuu hata wewe waweza kumpa mwongozo
Pitia YouTube chanel ya scalpkings fx utajifunza basics kwa kiswahili.Naweza Anza this bisness now or nimechelewa?
[emoji1] [emoji1]Mrejesho wa waliopigwa jamani
Mm mwenyewe bado newbie.
Ila kwenye huu Uzi kuna Mwl. Rct, wewe, amlike ,premij canoon wote hawa wanaweza kumfundisha.
Ila yeye Uzi mzima kamwona ontario
Kwani ni lazima amfuate Ontario mkuu hata wewe waweza kumpa mwongozo
1. Hakikisha unasoma kwa kuelewa neno kwa neno kwenye hii link: Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.comWay forward?I need good direction how to start?
Mbona link inazingua au ni mm tu1. Hakikisha unasoma kwa kuelewa neno kwa neno kwenye hii link: Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.com
View attachment 958367
2. Kila kipengele ambacho hujaelewa pata ufafanuzi youtube/ google
3. Ukifikia hatua ya kati hakikisha unakuwa na demo account
4. Anza kujifunza ku_trade na pia jiunge na hii telegram channel yangu: DayTradersTZ , Hapo kila siku utapokea Entrie/ exit kwa pairs tofauti tofauti na pia utaweza kuona analysisi inavyofanyika.
View attachment 958366
#5. Hakikisha unasoma comment zote za kwenye hii thread, kuna vitabu/ video nyingi zimewekwa na wadau.
#6. Usiwe na haraka - Hakikisha unajifunza kwanza
Wewe tuMbona link inazingua au ni mm tu
#1. Ingia playstore, Download Telegram app.Mbona link inazingua au ni mm tu
Ok thanks mkuu ngoja nianze mdomdo1. Hakikisha unasoma kwa kuelewa neno kwa neno kwenye hii link: Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.com
View attachment 958367
2. Kila kipengele ambacho hujaelewa pata ufafanuzi youtube/ google
3. Ukifikia hatua ya kati hakikisha unakuwa na demo account
4. Anza kujifunza ku_trade na pia jiunge na hii telegram channel yangu: DayTradersTZ , Hapo kila siku utapokea Entrie/ exit kwa pairs tofauti tofauti na pia utaweza kuona analysisi inavyofanyika.
View attachment 958366
#5. Hakikisha unasoma comment zote za kwenye hii thread, kuna vitabu/ video nyingi zimewekwa na wadau.
#6. Usiwe na haraka - Hakikisha unajifunza kwanza
HahahahaTunaomba ushuhuda tangu mwaka umeanza mpaka sasa hivi unaisha mmepata $ elfu au laki ngapi net?
Mkuu nataka niwekeze huku maana kuna watu wanasema wanapata $1000 kwa siku! Hizo ni $365,000 kwa mwaka. Nasubiri ushuhuda nijitose.Hahahaha
Swali zuri sana hili ,au wamekusanya PIPS ngapi km wenyewe wanavyodai