Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
H
Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.

Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.

Karibuni kwaaliji ya ku discuss.

Updates

Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"

Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Huu ndio uzalendo tunataka watu wana onyesha fursa kwa wengine bila kificho safi sana ubarikiwe!
 
Thanks mtoa mada, nimepata kitu leo, watu wanatamani sana fanya hii kitu ila tukumbuke

Good entrepreneur must be neutral to win and lose

Hii kitu sio risk free kiasi hicho inahitaji kutuliza akili tusiwe tuna focus zaidi faida.

"Potential return rises with an increase in risk"

Nipende washirikisha hii game hapa Forex-hero – Applications Android sur Google Play

Itawasaidia pata mwanga kama mimi nilivopata kiasi.

Nimepata wazo lakutengeneza game kwakiswahili ila nimpaka nitakapo kuwa expert wakutosha kwenye hii bsness ya forex.

All the best kizuri kula na mwenzio. Hongera mtoa mada.
 
Watu wa Mwanza, Arusha blah blah, mnalia sana, hamuoni aibu kunidekea. Mimi nimesafiri hadi Afrika kusini, nikaishi Pretoria, Johannesburg na Durban kwaajili ya forex. Namaanisha nimetomea Dar mpk huko just for this thing. Mtu yupo hapo Himo nauli elfu 25 anauliza nitamsaidiaje. Jamani tuacheni kudeka, hakuna mtu atakuletea kila kitu hadi kwenye sinia.

Lkn hili pia linanifikirisha kua tukiwa successful tutafungua branches na huko mlipo.

But bosses tuacheni kudeka. Dar na mwanza ni dakika 0 tu. Tena hapa Dar kuna mpk lodge za efu 10, sitaki kusema nilikua natumia kiasi gani kwajili ya meals na accommodation, waliofika SA wanaelewa nn nasema.

....

Nimetoa jina la kitabu watu wasome, lkn kuna mtu bado anasema nikiweke hapa, wakati vipo pdf huko gugo hata MB 10 havifiki. Is this how you guys hustle for success?! Watanzania tunapenda sana slope.
Tru dat brah tel'em!!!!!aint nuttin come in dat eazy way,ulipotoa idea tu kwa true hustla ilikua binge la reward yan watu washaanza kujitaftia added knowledge huko google mpaka bas,God bless u bro million time
 
Pakia hapa https://secure.efxnow.com/forex2/eng/ct-dummies.pdf
7c7756ec9379f9eb68f5190a60cdc0bb.jpg
Salute mkuu,nshakipakua ngoja nianze kukisoma
 
Pamoja na makala nzuri ya boss hapo, ila guys huu ni ushauri wa tajiri namba 3 duniani..
17-i-never-invest-in-anything-that-i-dont-understand-warren-buffett.jpg


Vijana wengi tunajaribu kila kitu kwa tamaa tu ya kupata utajiri wa haraka.. Haya mambo ya Forex mimi binafsi nayafanya tangia 2012 na wala siwezi kumshauri mtu ambaye hana uelewa kiduchu wa Finance afanye. It's very complicated unless uache kila kitu unachofanya na udedicate muda wako kwenye hizi Forex pekee.. Ni biashara nzuri sana lakini it has higher risk.. Wengi sana wanaibiwa na Brokers kwenye hizi biashara..
 
Mheshimiwa Ontario, nami naomba niwemo katika watu Wa mwanzo.

Eeh Mungu nijaalie muda Wa kuanza hii kitu utakapofika, niwe na angalau $ 3000 za kuanzia.
Ontario asante sana kwa hii elimu adimu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binadamu bhana Kwa hiyo ka like kamekuuma sana mpaka umekaulizia?

Je ungekuwa na huu mchongo wa ONTORIO ungewapa wenzako kweli?
Unajua ina udhi sana unakosa uvumilivu hadi unatoa tusi kubwa namna hiyo, ulitaka tukisifie?
 
Pamoja na makala nzuri ya boss hapo, ila guys huu ni ushauri wa tajiri namba 3 duniani..
17-i-never-invest-in-anything-that-i-dont-understand-warren-buffett.jpg


Vijana wengi tunajaribu kila kitu kwa tamaa tu ya kupata utajiri wa haraka.. Haya mambo ya Forex mimi binafsi nayafanya tangia 2012 na wala siwezi kumshauri mtu ambaye hana uelewa kiduchu wa Finance afanye. It's very complicated unless uache kila kitu unachofanya na udedicate muda wako kwenye hizi Forex pekee.. Ni biashara nzuri sana lakini it has higher risk.. Wengi sana wanaibiwa na Brokers kwenye hizi biashara..
Unatrade tangu 2012?! Basi kuna possibility kubwa unafanya kitu usichokifahamu. Huelewi kbs why you enter and exit a trade, yani miaka mi5 ilibidi uwe mbali mno.

By the way unatumia broker gani mpk unaweza kuibiwa?! Au huyo aliyeibiwa anatumia broker gani?!

Which trading strategy do you use?!

Mkuu niseme wazi, najua unanichukia uliwahi kunikuta kwenyw thread yangu gani sijui, ukanirushia maneno mengi sana (sijui kama ni wewe au nachanganya), lkn niseme hivi, yani kama mpaka leo unapoteza pesa zote kwenye forex na una miaka mi5 wewe bado ni infant trader. Kuna kila kitu, investing.com inakupa updates zoooote unazohitaji kufanya fundamental, kuna tools zaidi ya 100 zinazokuguide, sasa hivi knowledge imekua pana sana, kuna SL hadi na pending orders bado unapoteza pesa. Kaka come to my class and learn naked forex.

Na ukiona biashara haina risk hp duniani basi jua hakuna unachokifanya boss.
 
Boss kama wewe ni mstaarabu kama mimi naomba ufute hiyo kitu boss wangu kabla jamaa hajaiona. Huwezi jua huyo mama'ke yupo wapi dakika hii unamtukana, huwezi jua ana hali gani huko alipo. Mamake ni mamako, ni sawa unamtukana mamako mzazi hilo tusi, na ukute sababu ni kua jamaa kaQuote thread. Be a gentleman my big boss.
Samahani mkuu, samahani Kwa mshikaji na wana jamvi Kwa ujumla

Nilishindwa kabisa kuzitawala hisia zangu kwani kifaa ninachotumia ni kidogo mno so u can imagine unajisikiaje mtu anapo nukuu uzi mrefu kama huu

Yote Kwa yote nakiri sikutumia lugha ya kistaarabu Mimi mwenyewe imeniumiza
 
Tru dat brah tel'em!!!!!aint nuttin come in dat eazy way,ulipotoa idea tu kwa true hustla ilikua binge la reward yan watu washaanza kujitaftia added knowledge huko google mpaka bas,God bless u bro million time
mim toka saa 10 mpk saiv,nimeshaanza kuielewa sasa forex,ngoja nichimbe zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu ONTARIO kama nataka kuanza, ni vitu gani nahitaji??

1. Akaunti nitatumia ya benki gani??

2. Hao broker unapendekeza yupi ambaye yuko friendly kwa mazingira yetu ya bongo??

Nilikua nimeanza kupitia videos za youtube kidogo nna ka basic knowledge!! Bado najifunza!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom