kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
naomba niwepo kwenye training
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio uzalendo tunataka watu wana onyesha fursa kwa wengine bila kificho safi sana ubarikiwe!Wazo la nne
Si hata wazo la msingi sana, hahaa. Sijui niandike nini, lkn nachotaka kumaanisha ni usiwe mchoyo, kama kuna rafiki yako wa faida unahisi inabidi aone huu uzi usisite kumtag.
Ni bora tukaepuka kuQuote huu uzi, ni mrefu sana sana, yani ukiquote unatusumbua sana ambao tunatumia simu na gadgets zingine ndogo ndogo.
Karibuni kwaaliji ya ku discuss.
Updates
Moja ya ombi la msingi ambalo nimeona watu wengi wanaulizia ni - "Ontario ni kitabu gani naweza kuanza nacho?"
Kila mtu ambae yupo interested atafute kitabu kinaitwa Currency trading for Dummies: Kimeandikwa na Brian Dolan 2nd Ed ndio poa zaidi. Cover yake ni kama changano then kuna dunia hivi inaramani za nchi mbali mbali.
Naomba kuwepo kwenye training yakoH
Huu ndio uzalendo tunataka watu wana onyesha fursa kwa wengine bila kificho safi sana ubarikiwe!
Tru dat brah tel'em!!!!!aint nuttin come in dat eazy way,ulipotoa idea tu kwa true hustla ilikua binge la reward yan watu washaanza kujitaftia added knowledge huko google mpaka bas,God bless u bro million timeWatu wa Mwanza, Arusha blah blah, mnalia sana, hamuoni aibu kunidekea. Mimi nimesafiri hadi Afrika kusini, nikaishi Pretoria, Johannesburg na Durban kwaajili ya forex. Namaanisha nimetomea Dar mpk huko just for this thing. Mtu yupo hapo Himo nauli elfu 25 anauliza nitamsaidiaje. Jamani tuacheni kudeka, hakuna mtu atakuletea kila kitu hadi kwenye sinia.
Lkn hili pia linanifikirisha kua tukiwa successful tutafungua branches na huko mlipo.
But bosses tuacheni kudeka. Dar na mwanza ni dakika 0 tu. Tena hapa Dar kuna mpk lodge za efu 10, sitaki kusema nilikua natumia kiasi gani kwajili ya meals na accommodation, waliofika SA wanaelewa nn nasema.
....
Nimetoa jina la kitabu watu wasome, lkn kuna mtu bado anasema nikiweke hapa, wakati vipo pdf huko gugo hata MB 10 havifiki. Is this how you guys hustle for success?! Watanzania tunapenda sana slope.
Salute mkuu,nshakipakua ngoja nianze kukisoma
Unajua ina udhi sana unakosa uvumilivu hadi unatoa tusi kubwa namna hiyo, ulitaka tukisifie?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] binadamu bhana Kwa hiyo ka like kamekuuma sana mpaka umekaulizia?
Je ungekuwa na huu mchongo wa ONTORIO ungewapa wenzako kweli?
Unatrade tangu 2012?! Basi kuna possibility kubwa unafanya kitu usichokifahamu. Huelewi kbs why you enter and exit a trade, yani miaka mi5 ilibidi uwe mbali mno.Pamoja na makala nzuri ya boss hapo, ila guys huu ni ushauri wa tajiri namba 3 duniani..
![]()
Vijana wengi tunajaribu kila kitu kwa tamaa tu ya kupata utajiri wa haraka.. Haya mambo ya Forex mimi binafsi nayafanya tangia 2012 na wala siwezi kumshauri mtu ambaye hana uelewa kiduchu wa Finance afanye. It's very complicated unless uache kila kitu unachofanya na udedicate muda wako kwenye hizi Forex pekee.. Ni biashara nzuri sana lakini it has higher risk.. Wengi sana wanaibiwa na Brokers kwenye hizi biashara..
Samahani mkuu, samahani Kwa mshikaji na wana jamvi Kwa ujumlaBoss kama wewe ni mstaarabu kama mimi naomba ufute hiyo kitu boss wangu kabla jamaa hajaiona. Huwezi jua huyo mama'ke yupo wapi dakika hii unamtukana, huwezi jua ana hali gani huko alipo. Mamake ni mamako, ni sawa unamtukana mamako mzazi hilo tusi, na ukute sababu ni kua jamaa kaQuote thread. Be a gentleman my big boss.
mim toka saa 10 mpk saiv,nimeshaanza kuielewa sasa forex,ngoja nichimbe zaidi.Tru dat brah tel'em!!!!!aint nuttin come in dat eazy way,ulipotoa idea tu kwa true hustla ilikua binge la reward yan watu washaanza kujitaftia added knowledge huko google mpaka bas,God bless u bro million time