ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Mkuu hii kitu imekaa vizuri ila sasa sijajua kujiunga nakusubiri useme ama?Nimewahi taka fanya hii kitu sena sasa niliikuta online nika nahofia kutoa bank details wasije wakakomba kila kitu maana hizi teknolojoa nazo ni shida.Ila kama mwenzetu ushaielewa nitafurahinkujumuika nawe.