Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Okey lets assume natrade na pairkama hii...EUR/USD

Going long: nitanunua euro ikiwa chini na kuiuza soon ikipanda bei!! Hapa nakua naamini kwamba base currency yangu in this case euro itapanda thamani!! Kwa lugha ingine tunasema euro is bullish!!

Like wise, going short ni kwamba

Nakua naamini at some point euro kama base currency yangu itashuka thaman...sasa mimi kama bearish trader nitauza euro ikiwa thaman ya juu na kuinunua tena ikishuka thamani!!

Sijui kama nimeingia chaka ila thats what i understood!!

ONTARIO Bavaria mwongozo tafadhali!!

Haipo hivyo mkuu, umekosea kidogo sana..

Tuchukulie mfano wa hiyo EURUSD.

Going short manake ni kwamba una anticipate hiyo pair ipo bearish.

Unapo-short hiyo pair manake unauza Euro and kununua USD at the same time.

Unaopen position ikiwa juu na kuifunga ikiwa chini..

Unakusanya pips zako za kutosha..
 
Haipo hivyo mkuu, umekosea kidogo sana..

Tuchukulie mfano wa hiyo EURUSD.

Going short manake ni kwamba una anticipate hiyo pair ipo bearish.

Unapo-short hiyo pair manake unauza Euro and kununua USD at the same time.

Unaopen position ikiwa juu na kuifunga ikiwa chini..

Unakusanya pips zako za kutosha..
Nashukuru sana ! Ni kweli nilikosea, pitia post namba 1246 utaona nlirekebisha!!

Taratibu tu tutaelewa, thank you!!
 
Afu nyinyi mnaosema kwamba hii ni gambling mnatukatisha tamaa mjue....gambling kivipi hebu fafanua basi mbona mnazingua tena?
 
Haipo hivyo mkuu, umekosea kidogo sana..

Tuchukulie mfano wa hiyo EURUSD.

Going short manake ni kwamba una anticipate hiyo pair ipo bearish.

Unapo-short hiyo pair manake unauza Euro and kununua USD at the same time.

Unaopen position ikiwa juu na kuifunga ikiwa chini..

Unakusanya pips zako za kutosha..
wengine walidhani hii misamiati ni myepesi sana..hapo nilijua long na short zingekanganya wenzetu ndio maana nikauliza tufafanuliwe...ila nashukuru kwamba tunazidi kusoma na kusonga..
 
Hapo kwenye short nahisi umekosea

EUR/USD ukienda short kwenye hii pair Ina maana una Amini kuwa USD ambayo no counter currency itazidi kushuka dhidi ya Euro kwahiyo unauza euro ili ununue USD then USD ikizidi kushuka utauza hizo USD ununue euro kwa value ya mwisho ya pair yako

Mfano EUR/USD imeshuka kutoka 1.2345 mpaka 1.2335 Ina maana ukiwa na 10,000 euro wakati value ya pair ni 1.2345 utapata USD 12345 sasa value ya pair ikishuka mpaka 1.2335 ina maana ukiamua kuuza USD zako 12345 Ina maana utapata euro 10,008 (12345/1.2335) kwahiyo unakuwa na faida ya euro 8 kutoka kwenye euro 10,000 ulizokuwa nazo awali

Kifupi going short ni pale unapo nunua counter currencies maana nyingi huwa zinashuka thamani most of the times sababu zinakuwa ni weak currencies

I stand to be corrected

Kifupi ipo hivi.

Chukua 1.2345 toa 1.2335 unapata 10 pips.

Chukua hizo 10 pips zidisha kwa lot size yako.

Kama ni micro lot utakuwa unapata 0.01*10=0.1 USD

Kama ni mini lot utakuwa umepata 0.1*10=1 USD

Kama ni standard lot utakuwa umepata 1*10 = 10USD.

Kwa kila pip unatengeneza hizo USD hapo pembeni..

Hiyo ni shortcut huwa naitumia, ukiweka pembeni spread na leverage. Ukiweka hivyo viwili, mahesabu yanakuwa marefu zaidi..
 
wengine walidhani hii misamiati ni myepesi sana..hapo nilijua long na short zingekanganya wenzetu ndio maana nikauliza tufafanuliwe...ila nashukuru kwamba tunazidi kusoma na kusonga..

Siku ukienda kwenye training ya Ontario utakuwa better off.

Yani utakuwa umeshaanza kuzoeazoea, kuliko mtu anapoenda kusikia neno forex kwa mara ya kwanza..

We, jifunze ukikwama uliza humu. Utasaidiwa..
 
wengine walidhani hii misamiati ni myepesi sana..hapo nilijua long na short zingekanganya wenzetu ndio maana nikauliza tufafanuliwe...ila nashukuru kwamba tunazidi kusoma na kusonga..

Siku ukienda kwenye training ya Ontario utakuwa better off.

Yani utakuwa umeshaanza kuzoeazoea, kuliko mtu anapoenda kusikia neno forex kwa mara ya kwanza..

We, jifunze ukikwama uliza humu. Utasaidiwa..
 
wengine walidhani hii misamiati ni myepesi sana..hapo nilijua long na short zingekanganya wenzetu ndio maana nikauliza tufafanuliwe...ila nashukuru kwamba tunazidi kusoma na kusonga..

Je ukisikia maneno kama Buck, Aussie, Loonie, Fiber, Cable, Swissy, Kiwi?

😡
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Mkuu weka mawasiliano basi tuanze safari!!
 
Mkuu Usione Niko Katika Siasa Ukafikiri Vitu Vingine sivijui Huwa Kuna Slight Change ndogo sana tunavyofanya Swaping ya Currency

Mkuu Niko Vizuri katika hayo Mambo ya Money Markets

Ma Forward Contracts
Hii kitu ipo nimeifuatilia inaonekana ni ngumu mpaka tu upate mtu wa kukufundisha
Watu wanashadadia wanadhani ni sawa na kubeti. Angalau basi mtu apate basic knowledge ya mwenendo wa masoko ya fedha inahitajika.
 
Naenda kimoja baada ya kingine mkuu. Nikimaliza hiki cha Ontario nasoma second edition yake nimeona online chenyewe kina chapter za ziada then nitasoma naked forex nitamalizia cha 7 winning strategies for FX. Nikitoka hapo ndio naingia YouTube na kuanza demo account huku nasubiri training ya Ontario.
We mnyama mkuu na copy style yako hiyo hiyo
 
Haipo hivyo mkuu, umekosea kidogo sana..

Tuchukulie mfano wa hiyo EURUSD.

Going short manake ni kwamba una anticipate hiyo pair ipo bearish.

Unapo-short hiyo pair manake unauza Euro and kununua USD at the same time.

Unaopen position ikiwa juu na kuifunga ikiwa chini..

Unakusanya pips zako za kutosha..
Mkuu bavaria hebu naomba ufafanue yafuatayo taratibu wengine vichwa vyetu vizito 1.hapo kwenye going long and going short kwa mifano 2.kuhusu margin/laverage
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom