chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
sina broker na jitahidi kuangalia economic news ili kujua mzunguko wa pesa zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina broker na jitahidi kuangalia economic news ili kujua mzunguko wa pesa zake
ukweli ni kitu kizuri hakuna kitu rahisi kama hujui kinavo patikana.ni meonesha jinsi gani kuna faida na hasara.Hii kitu ni ngumu bosses, ngumu sana yani - note that. Hakuna hela rahisi. Feed yurself na mavitabu yani usichoke kusoma kama kweli unataka kutoboa bila hivo una waste time na bundle tu. Wahenga wanasema penye nia pana njia na pia penye ugumu pana mafanikio. Said only 5% of Forx traders ndo wanafanikiwa...So komaa uwe among hao 5%.... Mr Onta anavosema somaaaa yani somaaaa kweli. Ingekua easY raia wengi sana wangekua matajiri.
Kwa wale Wageni wa internet na smartphne ndo kabisaaa wana a lot to learn. Wale wazoefu pia wako moto wanajiona wame masta within weeks - ahaha watch out bruh. Most of newbies wanaishiaga kwenye demo tu na mbwembwe zote za ichimoku.
Goodluck.
wadau vipi?..nimekaa nikajiuliza, hivi ukifanya analysis yako ukapata opportunity ya uhakika inakuwaje ukiamua kupiga na lotsize kubwa?..
ukiwa na pair ukaifanyia kazi kisha analysis yako ikaendana na mambo mengine ya msingi kama vile news updates,indicators na mengineyo,yani kifupi kuna uhakika 99% kwamba mambo yataenda kama ulivyotegemea,inakaaje ukiamua kupiga lotsize kubwa?..naelewa umuhimu wa risk management ila hapa ifahamike kwamba aspects zote zinafavor position yako hivyo ukaamua kufungua position kwa volume kubwa..cheki hii screenshot hapa
![]()
utagundua ni pips kidogo ila impact katika profit ni kubwa mno....
kilicho nipelekea kutaka kujaribu hili ni baada ya kugundua traders wengi ambao ni professionals hawatumii 0.01 au 0.1..utapata wanapiga 2.00,3.00 n.k..yupo huyu msauzia Andile nimeona anapiga na 5.00.
ila sijapendekeza kwa namna yoyote ufwate hili.ni maoni tu.
0.01 ndogo sana. Mi naona kama ume calculate risk fresh and it favours u kwa +% za kutosha unaingia tu mzima mzima whatever happens ni itakua ni win win or a lesson. ikizingua tutaiita bad day tu, tena kwa traders wa small amount lot kubwa zinawahusu. Ndogo kwa wadau wanaoingia na millions of capital. Hii pia itakutengenezea discpline ya hali ya juu na kupata strategy matata.
Mfano kuna broker anaweza kukusetia automatic SL ikifika -100% of your total invesment but ana offer TP upto 1,000% (x1,000/ 10.00 / 1:1000). Hiyo -100% inakua kama 100 pips hivi away. So mfano ume open position kwa 100$ inakua every 1% = 1$. Sasa kama umeingia hafu ikakubali aiseee utazipigaaa.
I recommend x300 kwa pesa ndogo, x100 pesa mingi.
NB: Don't afraid risk on a risky business but don't gamble.
Sema [HASHTAG]#Forex[/HASHTAG] dah[emoji17] ngumu.
Hukutakiwa kumjibu,Tovuti hii hapa bro
Nilisoma hapo juu kwa aliyetoa hiyo link nikafuatilia nikakuta nikweli nika open acc na nikapewa free 30$ nimetrade nayo sasa nimepata 184$ nimesha wekewa kwenye my real account..
Huu ni msahada kwa wanafunzi ambao wako tayari ila hawana. mtaji
https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/
They are for real
Post sent using JamiiForums mobile app
Walishawai kamata yangu kama fraud dahhhh, kuja kiachia ilibidia niandike barua, ya kwamba what will happend will be at my own risk , ilipofika kwa manager wa branch wakaifungua_ freshHakuna cha high security wala nini, basi tuu ni u-conservative wao, ama hawajiamini bado na security yao upande wa online transactions. Inamaana wanataka kusema kuwa wao CRDB wana security kubwa kuliko Barclays, BankABC au UBA bank ambazo ni multinational na wapo katika internet transactions kitambo..? Au hiyo kublock mtu anayefanya transactions online mara kwa mara ndo kuimarisha security.? Waende zao.
Namimi nina akaunti na tickmill ila sasa naogopa trade na real accountTovuti hii hapa bro
Nilisoma hapo juu kwa aliyetoa hiyo link nikafuatilia nikakuta nikweli nika open acc na nikapewa free 30$ nimetrade nayo sasa nimepata 184$ nimesha wekewa kwenye my real account..
Huu ni msahada kwa wanafunzi ambao wako tayari ila hawana. mtaji
https://secure.tickmill.com/redirect/index.php?cii=10083&cis=1&lp=https://tickmill.com/
They are for real
Post sent using JamiiForums mobile app
Ukitaka kujua tamu na chungu ya kitu ingiA ndani!!Namimi nina akaunti na tickmill ila sasa naogopa trade na real account
Chizi hujanielewa labda,nimekuuliza pesa umedeposit Kwa broker yupo ambaye initial take ni $10,??jinsi ya kuweza kukabili currency trader.fatilia habari za uchumi kuanzia saisa,biashara n.k![]()
leo mrejesho
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Brokers wako wengi wenye initial deposit ya 10usd or less!!Chizi hujanielewa labda,nimekuuliza pesa umedeposit Kwa broker yupo ambaye initial take ni $10,??
Sent using Jamii Forums mobile app
Broker ambae ni ECN mfano ni yupiBrokers wako wengi wenye initial deposit ya 10usd or less!!
Angalia/google hawa...
XM broker (5usd initial deposit) kuwa makini maana ni market marker!
Tickmill (sikumbuki vizuri ila nadhani itakua 10usd)
HotForex (5usd)
Plus wengine wengi...
Hao wote niliowataja ni ECN na wengine(hotforex) ni straight trhough processors (STP) except XM!! infact do reseach utaona wengi tu!!Broker ambae ni ECN mfano ni yupi
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Ndio nimetoka site ya Jpmarkets kuichek.. Ngoja nichek na wengineHao wote niliowataja ni ECN na wengine(hotforex) ni straight trhough processors (STP) except XM!! Unaweza uka plus na hawa wanaoitwa JPMarkets wa SA!! infact do reseach utaona wengi tu!!
Pamoja mkuu!Ndio nimetoka site ya Jpmarkets kuichek.. Ngoja nichek na wengine
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
insterforex ingia hapa hawa ujali hata maskini na kukupa uwezo wa kuchezaChizi hujanielewa labda,nimekuuliza pesa umedeposit Kwa broker yupo ambaye initial take ni $10,??
Sent using Jamii Forums mobile app