CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
sijalalamika sehemu. ila ni aina ya post zangu shida ni hapo tu ila shida si FOREX,Mkuu usingeanza kulalamika kwanza huku ukijua huwezi kujiunga na FOREX kwa sasa jambo ambalo linaonesha dhahiri jinsi gani ulivyokuwa against na wenye muitikio wa FOREX.
Sasa umejianika kabisa kwa rangi yako kuhusu hili jambo
Kwenye fursa ni vizuri tushauriane na kupeana tahadhari lakini si kukatishana tamaa kwa udi na uvumba.
hakuna sehemu nimesema FOREX ni wizi ila ukiangalia post za watu humu ziko kwamba napinga kwa sababu tu ya Post