Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

LUKAMA

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,117
Reaction score
1,343
Mwaka 2017 May ni mdau niliye shawishika sana kujiunga na jamii forum, kabla ya hapo nilikuwa nasoma tu na kupita hivi na sikuwa member. Ikaja thread moja kutoka kwa kijana machachali ontario kuhusu forex nikasoma na nikashawishika sana, kwa kipindi hicho nilikuwa mwa watatu chuo so kuna course moja tulio soma BAF inaitwa international trade ndani yake kuna forex, so haikuwa ngumu kwangu haikuwa ngumu sana kuelewana na ONTARIO.

Moja ya mifano aliyoitajija Ontario ni kijana huyu sandile shezi kutika south africa nikamfuatilia sana, nikaona interview zake alivyo acha chuo nakujiunga na forex na kutoboa kichwani mwangu moto uliwaka zaidi nikaona maisha si haya naenda kuyapatia

Nikajikita kusoma na kufungua demo account kama njia ya kujifunza pia nikawa mdau sana wakusoma vitabu vya kiyosaki, trump n.k hivi na soma hadi leo. Nikajiunga na magroup ya whatsapp na telegram nikawa member wa Ontario si unajua tena pesa ndugu zangu. Sikuwai kufungua real account cos nilikuwa na maisha yakuunga unga sana baada ya kumaliza chuo nikaona ngoja nijipe muda, nikaanza kuona wadau wanaanza kulia kuhusu Ontario kengere ikagonga kichwani nikabidi niwe ndugu mtazamaji tu. Nikaja jifunza kwa Robert kiyosaki usingie kwenye biashara ambayo hauwezi ku-control mtaji wako hasa forex hata kama biashara ina uhalisia ukiona hauwezi control capital tako achana nayo kupoteza ni dakika sifuli toka hapo nikapiga chini.

Sasa kijana huyu kutoka south anatafutwa na polisi na inasemakana ameitelekiza familia yake na hajulikani alipo na amekimbia na pesa za watu.

Ndugu zangu wana chuo hakuna pesa ya haraka haraka maisha ni mapambano leo ni mwaka sita toka nimalize chuo hata tobo bado sijalipata na BAF yangu, sio kwamba kichwani ni mweupe kwenye caree yangu najua sana cos huwa na zifungia kampuni binafsi mahesabu na kuwasaidi kwenye masula ya kodi TRA

NOTE: Vijana someni someni shule ndo mkombozi achana na forex japokuwa ni biashara halali ila usijingize kuendesha maisha yako itakuletea matatizo , muda unatumia kujifunza forex kajifunze kutengeza bajaji/ pikipiki na carpenter huku unasubilia ajira kutoka kwa government


 
Muda mwingne nafananisha forex na kaylinda watu wa forex wanajua sana kushawishi na kuongopa ongopa kuwa wao wanapiga hela kupitia forex cha ajabu sisi tunapiga hatua wao wapo hvo hvo
 
Imeisha hiyo
 

Attachments

  • Forex.jpg
    Forex.jpg
    38.4 KB · Views: 60
Ziwezi juta kuzaliwa Tz/Africa, kuhusu kuzaliwa na kuwa mu-Africa ipo out of my control so vitu ambavyo siwezi kuvi control na hishi navyo tu, siwezi kujikataa mimi mwenyewe s
Huoni kama unateseka?
Yani maisha yako mwenyewe huna control nayo na unaona shule ndio mkombozi wako na wenginr wote 🙌🙌 hii iko Africa zaidi

Fatilia biography za wacheza porn almost wooote ushangazwe na elimu zao ambazo kuna mzazi leo hii anampambania mwanae apate hizo elimu kisha akaombe kazi TAMISEMI 😝
 
Kuna mshkaji wangu nilisoma nae chuo tulipomaliza tulipotezana kwa muda kidogo, tulipokuja kuonana yeye alikua kwao nikamtembelea nikamkuta na simu na tablet vyote vya apple muda mwingi alikua anafuatilia jambo kwenye device zake kumuuliza akaniambia ni forex akanielekeza nikaona sielewi akanionyesha na washkaji zake walio fanikiwa dah nilitamani kweli lakini jambo sikulielewa tukaja kushauriana mimi nimpe pesa awekeze akipata faida tugawane mara ya kwanza nilimpa 150k ikaliwa mara ya pili nikampa 100k ikaliwa basi nikamwambia tuache hiyo michezo ya ajabu mpaka leo mwamba anatafutaga pesa hana alichofanikisha na nampaga ushauri hela anazopata awekeze kwenye vitu vingine yeye anaamini atatoboa kwenye forex
 
Huoni kama unateseka?
Yani maisha yako mwenyewe huna control nayo na unaona shule ndio mkombozi wako na wenginr wote 🙌🙌 hii iko Africa zaidi

Fatilia biography za wacheza porn almost wooote ushangazwe na elimu zao ambazo kuna mzazi leo hii anampambania mwanae apate hizo elimu kisha akaombe kazi TAMISEMI 😝
Uwe unaelewa nimesema kuzaliwa na ku Africa sijajichagua mimi ila nature, nimejikuta nipo africa so shule sio kwamba inakufanya kuwa na pesa hata ukombozi wa fikla tu
sisi wengi shule imetufikisha hapa tulipo tunaoneka bora kwenye jamii na familia kwa sababu ya shule
Wote hatuwezi kuwa wakina vunja bei
 
Back
Top Bottom