Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Daah umeongea ukweli mkuu
 
Tena usigeuke nyuma [emoji23][emoji23]
Kwa ufupi mtu akishaniita na kuanza nihubiria kuhusu Fursa najua napigwa.

Kama kitu kinalipa mtu hawezi Tangaza kamwe.

Azam, MO huwezi wakuta wanahubiri jinsi ya kuuza Soda au Ngano, wao wanapiga kimya kimya.
 
Ila kuna watu wengi bado wanapigwa na hawasahau
DECI, MR Kuku, JATU, etc
Everything is all about how you make up your mind.
But you've blocked your mind if not brain.
Vipi nikinunua hisa za Tesla ama za Boeing Napo Ni Deci ama Ni jatu.yaani umeongea hivi mpaka inaonekana mind yako ulivyoiweka.
Kuna siku utaitiwa fursa utajua kuwa wew ndiye fursa kumbe sio.
Jinsi brain yako unavyofanya kazi Ni sahihi kabisa kulingana na akili ama ubongo wetu binadamu ulivyo na ndio Mana trading or Investment inakuwa ngumu mno kwa akili za kawaida za kibinadamu
 
Ishu kubwa inayowashinda watu wengi kweny forex huzani ndo njia nyepesi ya kutoka kimaisha,wanasahau kuwa trading ni skills kama skills zingine.

Kama mtu anatumia miaka mitatu kupata degree aje alipwe laki 7 kwanini mtu awaze ataingia kwenye forex mwezi 1 uanze kupata mamilion....inaitaji mazoezi na kujituma sana kabla ya mafanikio.

Watu wengi huzani kujifuunza stategy ndo kujua kutrade, la hasha strategy hukusaidia kufanya maamuzi wakati wa kutrade kuwa rahisi tu pia kuchora chora vitu kwenye price ni kulazimisha kupata kitu cha kutrade au kuiambia trade inatakiwa ije hapa iende pale alafu tukutane ni pate pesa wakati yenyew ndo inatakiwa ikwambie na hapo ndipo tatizo linapoanzia.

Ila ukipata elimu sahihi na kufanya mazoezi ya kutosha huitaji kuchora chochote bali price + volume (interest ya participant) zitakuadithia kufanya maamuzi. Huo ndo muda utaanza kuitreat forex ni biashara na sio kamali
 
Everybody knows that. Kila mtu anajua what they get into wanapoingia kwenye hizo biashara ulizozitaja. Tatizo ni pale ambapo forex inatangaza jambo moja kumbe na yenyewe ni wale wale.
Ulitakiwa upate hela za bure,yaani ukachukue hela laini
 
Kuchora mtu anataka iendane na Imani zake mwenyewe
 
huitaji kuchora chochote bali
Unawaza kama mimi,mimi naxhani market haifuati michoro ama analysis bali analysis ndio itafuata market.

So kama market haifuati michoro ya analysis why tunachora ? hatujaimaster market ipasavyo.

Mimi nadhani mbali na analysis kuna kitu ama vitu vya siri ambavyo ukivijus ndio utaanza kupiga pesa.

Maana kaa inshu ni analysis ama fundamental kila aliyesokoni anajua hizo vitu lakini still kuna watu wengi wanalia na soko,why ?

There is something else.

Binafsi nimeona kwamba psychology inaplay part kubwa sana,ndio kuna wataalamu wanasema forex trading is a battle of you against you(means your psychology).

But yote kwa yote sijutii kuijua trading japokuwa nimeshapoteza pesa za kutosha tu ila kwenye kupoteza huko kumenifunza mambo mengi.

Nimepoteza pesa lakini bado nakataa kusema forex is a pyramid scheme ama scam.

Nilizopoteza katika pesa nakiri ni my own psychology ndio imenicost,so haiwezi kuwa scam ama utapeli.

Kwenye betting sijui lakini kwenye trading inarakiwa uwe na saikolojia kali sana,ni moja ya mind game ya ajaby sana.

Ukishapitia mateso na kujifunza in a hard way ndipo nadhani mtu ataanza kutengeneza pesa kwa urahisi wanaousema watu.

SO kitu chochote ukishakimaster wengine wataona ni rahisi kwa sababu wewe unaefanya umekiweza ndivyo,ila akifanya mwingine ataona ugumu.
.na ndivyo trading ilivyo waru wanasema rahisi kwa sababu wanawaona watu wanaifanya kw urahisi kumbe hao watu walishaimaster kutambo so mtu akiona unatizama chart anajua unacheza tu kumbe uko na mahesabu makali kichwani unafanya bila yeye kujua.

Akiingia yeye anapigea anaona ni utapeli,kumbe bado hajamaster,tuendeleeni kujifunza zaidi throufh experience n.k
 
It's against human nature
Mkuu fafanua how forex is against human nature.

Which human nature ambayo forex iko against nayo ?

Mimi nimejifunza tu katika trading tuache nature ya TAMAA(greedy) kila binadamu ana tamaa ya vikubwa,kumbe professional wengi hawataki perentage kubwa,mtu anakuambia kwa siku anataka 2% ya mtaji wote basi mtz unashangaa yani kwenye dola 100 mtu kwa siku anataka dola 2? Mbona kidogo ? Kumbe kusemabona kidogo ndio nature yetu na kutaka hiyo 2$ ndio kwenda againt nature sio ?

Natanguliza shukran.
 
Watu hawajui ukweli hakuna faida kwenye Forex bora ununue hisa na hata ukinunua hisa inabidi uwe na insider information ili upige hela. Kuna utapeli mkubwa sana kwenye hili.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…