Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Maongezi ya watu ama bongo za binadamu Ni Raha tu wewe cheki hapa jukwaani nyuzi zenye wadau wengi ama bongo nyingi Ni betting nayo Ni Aina fulani ya uraibu Mana ukifaulu unajisikia Raha mno,Simba na yanga,cdm vs CCM.
Yaani kubeti mpira Ni Aina ya kilevi nacho huwa kinafanya mtu anajisikia Raha mno Ni sawa na kula cocaine,bangi, heroine,sigara,kahawa,cola , chocolate zinazo caffeine ambazo Zina trigger your limbic brain unajisikia Raha mno.
Pia na kamari unajua utafanikiwa pasipo kufanya kazi Mana kufanya kazi Kuna maumivu na binadamu hapendi na anakwepa maumivu kwa Hali na Mali ingawa anapenda kitu ambacho Ni matokeo ya maumivu.


So hapa waganga wa kienyeji, wachungaji,wanasiasa,wamiliki wa casino ama betting industry inawatumia uvivu wao Kama mtaji wao yaani unahaidiwa kuwa utafanikiwa pasipo kufanya kazi Hawa watu wote ndio njia zao za kupata pesa zimejikita,

Hujawahi jiulza why wenye dini wao kwenye ibada wanakalia viti vizuri vyenye sponchi so takoo zako haziumii Ila wewe upo kwenye benchi unaumia.


Pia muumini ukiwa na shida unapigwa maombi unaambiwa kuwa na Imani utapokea Ila hao wenye dini wakiwa na shida mzigo unakuja kwenu waumini mtajichanga hata mwaka mzima Ila lazima mchungaji ama padri awe na gari take, nyumba yake.

Watawa mfano wa rc hawajawahi uza gari wanazotembelea watumie usafiri wa umma halafu zile hela zikasaidie wengine.


Ila uwekezaji kwenye stocks market or speculation is another game yaani sio Cha race, religion, height, weight,shape, smartness,iq, education,your background,no back up,no connection,Hakuna Cha refa,Hakuna kuwaibia watu,no maneuvering of people's mind,yaani bana hii Ni biashara huru kabisa you can make millions of dollars In an embarrassing short period of time but bear it in your mind the SKILLS AND CAPITAL needed to accomplish that shiti isn't an easy thing to acquire. Yaani hii game bana Ni sio discriminator hata kidogo
 
Ushauri huu unatolewa nchi ya kimasikini kama Tanzania.
Juta kuzaliwa Tanzania juta kuzaliwa Afrika
Unafikiri ungetolewa wapi zaidi ya Tz ambako bado haijazoeleka watu kutoboa kwa vipaji vyao, huku vipaji hivyo vikisababisha wengine kuishia kufa masikini.!?
 
Mwaka 2017 May ni mdau niliye shawishika sana kujiunga na jamii forum, kabla ya hapo nilikuwa nasoma tu na kupita hivi na sikuwa member. Ikaja thread moja kutoka kwa kijana machachali ontario kuhusu forex nikasoma na nikashawishika sana, kwa kipindi hicho nilikuwa mwa watatu chuo so kuna course moja tulio soma BAF inaitwa international trade ndani yake kuna forex, so haikuwa ngumu kwangu haikuwa ngumu sana kuelewana na ONTARIO.

Moja ya mifano aliyoitajija Ontario ni kijana huyu sandile shezi kutika south africa nikamfuatilia sana, nikaona interview zake alivyo acha chuo nakujiunga na forex na kutoboa kichwani mwangu moto uliwaka zaidi nikaona maisha si haya naenda kuyapatia

Nikajikita kusoma na kufungua demo account kama njia ya kujifunza pia nikawa mdau sana wakusoma vitabu vya kiyosaki, trump n.k hivi na soma hadi leo. Nikajiunga na magroup ya whatsapp na telegram nikawa member wa Ontario si unajua tena pesa ndugu zangu. Sikuwai kufungua real account cos nilikuwa na maisha yakuunga unga sana baada ya kumaliza chuo nikaona ngoja nijipe muda, nikaanza kuona wadau wanaanza kulia kuhusu Ontario kengere ikagonga kichwani nikabidi niwe ndugu mtazamaji tu. Nikaja jifunza kwa Robert kiyosaki usingie kwenye biashara ambayo hauwezi ku-control mtaji wako hasa forex hata kama biashara ina uhalisia ukiona hauwezi control capital tako achana nayo kupoteza ni dakika sifuli toka hapo nikapiga chini.

Sasa kijana huyu kutoka south anatafutwa na polisi na inasemakana ameitelekiza familia yake na hajulikani alipo na amekimbia na pesa za watu.

Ndugu zangu wana chuo hakuna pesa ya haraka haraka maisha ni mapambano leo ni mwaka sita toka nimalize chuo hata tobo bado sijalipata na BAF yangu, sio kwamba kichwani ni mweupe kwenye caree yangu najua sana cos huwa na zifungia kampuni binafsi mahesabu na kuwasaidi kwenye masula ya kodi TRA

NOTE: Vijana someni someni shule ndo mkombozi achana na forex japokuwa ni biashara halali ila usijingize kuendesha maisha yako itakuletea matatizo , muda unatumia kujifunza forex kajifunze kutengeza bajaji/ pikipiki na carpenter huku unasubilia ajira kutoka kwa government


Forex it's not for overy one
Umeishindwa kaa kimya
 
Hii ni link na share ya video ya BBC YouTube haya makampuni ni ya kitapeli yalifadhili hadi timu za mpira wa miguu. Forex hailipi nendeni mkafanye research ya jinsi ya kuwa trader wa New York stock exchange what it takes.It is not easy, from what I know kuna watu walitajirika na forex huo ilikuwa enzi hizo miaka ya themanini ambapo ulikuwa unafanya reading kwa kupiga simu. Enzi hizo watu walikuwa wachache wanafanya trading. Sasa hivi traders ndio mnakuwa mtaji badala ya mwekezaji kwa kampuni.

 
Forex haitaki vilaza. Ukiwa kilaza, vilaza waliochangamka watakutumia kama fursa yao ya kutoboa kimaisha.

Forex inataka watu wenye akili. Na watu wanaojishughulisha kwa bidii. Inataka watu ambao watalala masaa yasiozidi matano. Inataka watu ambao wataachana na mambo ya kufuatilia umbea, kuangalia tamthilia na vitu vyote ambavyo sio muhimu na huo muda autumie kwenye hiyo biashara ya forex.

Sasa mtu genge tu unashindwa kuliendesha mtaji unakufa halafu unataka ufanye forex?

Masaa yote upo insta umbea, ukitoka unaingia tiktok, ukitoka unakuja Jf ukimaliza hapo unaenda whatsap kupost memes halafu ukishachoka ndio unaenda sasa kuangalia
Candlesticks?
Asikudanganye mtu.. Ni bora betting kuliko forex.... Hiyo forex ni zaidi ya izo candlestick mnazojisomea... NDIO MANA WOTE WANAOJIITA PROFESSIONAL TRADERS WANANGANGANIA KUFUNDISHA WATU.
 
Hii ni link na share ya video ya BBC YouTube haya makampuni ni ya kitapeli yalifadhili hadi timu za mpira wa miguu. Forex hailipi nendeni mkafanye research ya jinsi ya kuwa trader wa New York stock exchange what it takes.It is not easy, from what I know kuna watu walitajirika na forex huo ilikuwa enzi hizo miaka ya themanini ambapo ulikuwa unafanya reading kwa kupiga simu. Enzi hizo watu walikuwa wachache wanafanya trading. Sasa hivi traders ndio mnakuwa mtaji badala ya mwekezaji kwa kampuni.


Mkuu hawawez elewa... Na nilichogundua wanasema hakuna anaeweza endesha market... Kumbe big sharks wanaweza amua market iende vipi (tofauti na study za candlestick na news) na hapo mtu aliejisomea candlestick lazima ale za uso
 
Unajua hili tatizo la r na l watu kutoka nyanda za juu kusini kwatu limekita mizizi na samaki mkunje bado akiwa mbichi
Najua kabisa lipo. Ila linakuwa kwenye matamshi na siyo kuandika. Mimi nikisikia mtu ana hili tatizo kwenye matamshi wala simlaumu kwani hata mimi lugha mama yangu kuna maneno ya kiswahili kuyatamka ni changamoto. Ila ndugu yangu kwenye kuandika huwa tunajifunza shule. Hata kiingereza kuna watu kama wahindi wana matamshi mabovu sana lakini hawaandiki maneno ya kiingereza tofauti.
 
Forex haitaki vilaza. Ukiwa kilaza, vilaza waliochangamka watakutumia kama fursa yao ya kutoboa kimaisha.

Forex inataka watu wenye akili. Na watu wanaojishughulisha kwa bidii. Inataka watu ambao watalala masaa yasiozidi matano. Inataka watu ambao wataachana na mambo ya kufuatilia umbea, kuangalia tamthilia na vitu vyote ambavyo sio muhimu na huo muda autumie kwenye hiyo biashara ya forex.

Sasa mtu genge tu unashindwa kuliendesha mtaji unakufa halafu unataka ufanye forex?

Masaa yote upo insta umbea, ukitoka unaingia tiktok, ukitoka unakuja Jf ukimaliza hapo unaenda whatsap kupost memes halafu ukishachoka ndio unaenda sasa kuangalia
Candlesticks?
Umeshapiga million ngapi huko Forex 😀
 
Mkuu, there's a big difference kati ya professions kama udaktari, uuzaji duka na forex. Udaktari au kada zingine ukiweka juhudi na maarifa utafanikiwa tu.

Forex trading, on the other hand, is a get-rich-quick scheme. Hiii ndo ahadi ya forex. Weka hela kuwa billionaire overnight. Jambo ambalo haliwezekani.

Unlike kada zingine, unaweza weka muda na maarifa yako yote kwenye forex na bado ukafeli. Hivi unajua 95% ya watu wanaofanya forex trading duniani wanapoteza hela? That's a fact. Ni kada gani ina failure rate kubwa kiasi hicho? Unataka kusema hao wote hawajui nini wanafanya? Case in point, ONTARIO muasisi wa forex bongo, kaishia wapi? where did he go wrong kwa mtazamo wako?

Jisomee mwenyewe hapa chini na links nimeweka:

A well-known figure in the Forex world is that 90% of Forex retail traders do not succeed. Some publications quote failure rates as high as 95%.

Statistics show that most aspiring forex traders fail, and some even lose large amounts of money.


Mwenye masikio, amesikia
 
Mwanzo mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu Forex sana. Tena nadhani hadi nyuzi za kumnanga ontario nilikuwa nachangia kumnanga kisawasawa.

Ila akili ilikuja kubadilika wapi? Kuna watu ambao nawajua, na sijawajulia mitandaoni nawajua ni kama familia ya karibu. Wamemaliza chuo hamna ajira wakajifuza na bado wanajifunza ila wanaendesha maisha yao kwa hiyo hiyo forex hawana kazi nyingine.

Na ninavyokwambia hauwezi kuwakuta mtandaoni wanaandika chochote kuhusu forex. Hawafundishi wao ni kusoma na kutrade tu. Sio matajiri ila wanaendesha maisha yao. Wanalipa kodi na wanakula na wanavaa siku zinaenda.

Hawa ndio wamenibadilisha mtazamo niliokuwa nao juu ya forex.
Wana-trade nini?
 
Hii ni link na share ya video ya BBC YouTube haya makampuni ni ya kitapeli yalifadhili hadi timu za mpira wa miguu. Forex hailipi nendeni mkafanye research ya jinsi ya kuwa trader wa New York stock exchange what it takes.It is not easy, from what I know kuna watu walitajirika na forex huo ilikuwa enzi hizo miaka ya themanini ambapo ulikuwa unafanya reading kwa kupiga simu. Enzi hizo watu walikuwa wachache wanafanya trading. Sasa hivi traders ndio mnakuwa mtaji badala ya mwekezaji kwa kampuni.


Trading haiwi rahisi sababu watu wanaofanya ni wachache au wengi .
Ugumu wa soko uko tangu kitambo.

Ukitazama macro chart ya currency(chart ya miaka zaidi ya arobaini) mfano EURUSD au GBPJPY utaelewa kwamba market hakuna wakati imewahi kuwa nyepesi na kamwe haitakuja wakati ikawa rahisi asilimia za wanaofanikiwa na wanashindwa zitaendelea kuwa hivyo hivyo miaka nenda rudi sababu asilimia kubwa ya watu hawana ufahamu au saikolojia,bidii itayopelekea wanaofanikiwa wawe wengi kuliko wanaoshindwa.

Sadaka ya kuwa winner ktk hii biz hailezeki ,pia inahitaji uwe umejaaliwa tu ufahamu wa kuweza elewa hiyo biz.Kuna watu wengine hawawezi wakaja kufanikiwa hata wafanye Kwa miaka 20 au zaidi.

Si kila mtu anaweza kufanikiwa ktk biashara fulani.Mfano si kila mmoja atakayelima vitunguu anaweza fanikiwa,si kila atayefuga kuku atafanikiwa .Mafanikio yanaenda na jitihada ,kujifunza ktk makosa na pia kujaaliwa
 
Back
Top Bottom