Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Mimi sikukejeli wala siyo kama najua sana. Tatizo la kutokuwa makini kuandika maneno rahisi kama hayo ni just a tip of iceburg kuwa kwenye mambo muhimu hutakuwa makini. Kurahisisha mambo namna hii kunai-cost Tanzania na watanzania, fedha na muda. Nilikwenda kuchukuwa cheti cha kuzaliwa cha mwanangu nikakuta watu wengi wanalalamikia makosa madogo kama haya. Mimi cheti cha mwanangu jina limeandikwa Malia badala ya Maria. Tafakari na jitahidi kujifunza na siyo kubishana.
Unajua hili tatizo la r na l watu kutoka nyanda za juu kusini kwatu limekita mizizi na samaki mkunje bado akiwa mbichi
 
Ushauri huu unatolewa nchi ya kimasikini kama Tanzania.
Juta kuzaliwa Tanzania juta kuzaliwa Afrika
Hata ukijuta haibadilishi ww kuwa mu-afrika/mtz.
Alafu hata hao walioendelea nao walianza kutokea chini...so ww badala ya kuhamasisha vijana kupambania ndoto zao kwa maendeleo ya nchi ww unachofanya ni kuwakatisha tamaa.
#Tuungane katika kulijenga taifa.[emoji123]
 
Mwanzo mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu Forex sana. Tena nadhani hadi nyuzi za kumnanga ontario nilikuwa nachangia kumnanga kisawasawa.

Ila akili ilikuja kubadilika wapi? Kuna watu ambao nawajua, na sijawajulia mitandaoni nawajua ni kama familia ya karibu. Wamemaliza chuo hamna ajira wakajifuza na bado wanajifunza ila wanaendesha maisha yao kwa hiyo hiyo forex hawana kazi nyingine.

Na ninavyokwambia hauwezi kuwakuta mtandaoni wanaandika chochote kuhusu forex. Hawafundishi wao ni kusoma na kutrade tu. Sio matajiri ila wanaendesha maisha yao. Wanalipa kodi na wanakula na wanavaa siku zinaenda.

Hawa ndio wamenibadilisha mtazamo niliokuwa nao juu ya forex.
Ukute wanauza misokoto
 
The man who woke up, checked his Facebook $META account on his IPhone $AAPL on the Verizon $VZ network… slipped his Nike $NKE sneakers on and took his prescription medication $PFE, $JNJ, $BMY, $MRK, $LLY then drove to work in his Tesla $TSLA after stopping to get his Starbucks $SBUX coffee… then after work he stopped at Walmart $WMT to pick up some groceries, got home to receive a package delivered by FedEx $FDX while later that evening he made a purchase on Amazon $AMZN with his Visa $V card and then watched Netflix $NFLX before bed says… “the stock market is about greed and no one benefits from Wall Street.” My challenge to him is: Walk the talk! Boycott all products produced by public companies. Let’s see how long you last and how happy life is for you! Without risk capital... and more importantly, LIQUID capital markets, life would be pretty shitty.
 
This is mental warfare,the game of nerve,the game that tests your psyche.
Utapoteza kazi, nyumba, Mshahara wa mwaka mzima kwa siku moja kwa ajili ya your own psychology.

Binafsi nafurahi mno kukutana na hii mishe yaani I don't know how to thank our almighty in heaven.
To understand trading is to understand yourself.
Study hard about yourself and not about market.

Siku ukijua kuwa kumiliki hela Ni tabia na sio akili kubwa utaamka tokea usingizini.

Hii ishu inatakiwa ufanye kazi na sio kazi Kama ulivyozoea Ni kazi kuliko uwezo wa kawaida wa kibinadamu na kila kitu kinachofanyika Ni kinyume na ubongo wako unavyofanya kazi.


Wanayofundisha wameshindwa game,wameandika vitabu,wanauza signals,wanafanya mentoring, haiwezekani ufundishe Kama unaijua vizuri hii mambo.
You can double even triple your account in one good trending day from opening of the market to close.

Kama huna uwezo wa ku dedicate 12-14hrs everyday for 5-8yrs to learn this craft achana nayo na sio guarantee kuwa utafanikiwa sema if the desire is really there you'll find a way how to make money out of this sea of randomness.


I really enjoy nowdays mind of human beings jinsi inavyochakata data kutoa information.

Watu wanaongea their FEAR,GREED,HOPE, ENVY, JEALOUS, INABILITY TO HANDLE RANDOMNESS, INCAPABLE OF PROBABILITISTIC THINKING, FEAR OF UNCERTAINTIES, PEOPLE LOVE DETERMINISTIC WAY IF THINKING THEY CAN'T HANDLE PROBABILITY THINKING.



hii ishu achaneni nayo Ina njia ngumu mno za kupitia ,ama huamini wengi wanafeli.

It's abnormal endeavor to man, sigara Ina onto kuwa Ni hatari Tena inaleta Kansa kwenye Ganda la sigara Ila bado watu wnaavuta,watu wanajua ukimwi upo Ila Wana risk kisa wapate utamu.

Hapa Ni Aina ya waatu walip tayari kupoteza pesa kumeki pesa.

Sasa unadhani binadamu anapenda kupoteza pesa kweli.

Nadhani huwa unaona watu wanauana kisa wanadaina buku.
Jamani hii ishu Ni taiti sema walimu akina Ontario hawatoi uhalisia kisa Ni rahisi kuongiamo watu wanadhani kuwa Ni rahisi pia kupata mafanikio Ni ngumu yaani Ni ngumu.


Laiti kila kitu kilifutwa kichwani mwangu Wala siwezi kurudi nyumaa nianze kukomaa Tena yaani siwezi kuirudia.


Mana Ina maumivu makali mno yaani mno.


Hata elimu niliyosoma nguvu zake hazifikii robo ya hii mambo.


Mana hii mtu upo bafuni upo unakula lecture.everywhere mpaka mwenyewe unakuwa market Mana market never sleep. You suffer your sleep sometime.


Ila ukifika juu unaenjoi mno yaani mno ndipo hapo Ni rahisi kuwatamanisha watu na ukawapiga hela.

Watu hawapo tayari kufanya kazi wafikie level fulani.


Unajua mazoezi ama kazi ambayo Mayweather,Jordan,tiger wood,Roger Federer,Alex honnold,Williams family,Warren buffet,Jim Simmons,Kobe Bryant,cr7 muda wote huwa Ni mazoezi yaani akimaliza tu kula Ni anafanya tizi,Kobe Bryant alikesha gym Aki shoot ball to basket mpaka jogoo lilipowika so sio kawaida ujue kwa nje inaonekana Ni rahisi Ila sio rahisi


Yaani unakwea mlima like Himalaya ukimaliza unadhani ndio utauona mwanga ukifika hapo unaambiwa kuwa inabidi ukweee Mara 10 ya ulipokwea.


Mbona watu wanasubiria Maku miaka hata zaidi 7 ili aje aiwekee ndani awe anaila muda wote.

So unajua kuwa mbape ameanza kufanya mazoezi akiwa na miaka mingapi,ama Serena William, Mayweather. Hawa watu watatu walipewa career zao tokea nyumbani nadhani na Warren buffet baba take alikuwa Ni stocks broker akiwa na 11 yrs tayari ameshalipa Kodi kwa faida aliyoipata,William akafundisha binti zake wakiwa nyumbani,
Mbape baba yake Ni mwalimu wa mpira wa watoto wadogo sijui.
Kuna career fulani zinachukua muda mrefu so wengi wanafundishwa wakiwa wadogo mno sio za kukurupukia ukubwani otherwise upate right mentor na uwe na desire ambayo sio ya kitoto fulani.
 
Watu wanapenda kuwa na gunia 1000 za nafaka fulani Ila hawako tayari kufanya mchakato mpaka wazimiliko hizo gunia.

Kila mtu anataka kwenda mbinguni Ila Hakuna aliye tayari kufa ndio shida ilipo.

Hao wanao fundisha ngoma imewazidi Mana maarifa wanayo wamesoma na kujifunza patterns zote wanazijua Ila they can't make money. To make money trading isn't the function of knowledge, Knowing more about market, predicting the future,
This game so called is being played in your own mental space.
That's the playing battlefield only in this planet,we live in our mental beliefs and nothing else.
Trading suçcessfull is painful so unadhani Ni wangapi wako tayari kupata maumivu na huku kazi ya ubongo wako Ni kukutafutia Raha mwili wako na ndio Mana unaona wanaowapa Raha binadamu wanalipwa hela nyingi na wanaishi maisha ya anasa Mana Wana hela kuliko wanazohitaji kuishi kv wachezaji wote,wachekeshaji,waigiza movie,wanamuziki,wanaotoa huduma ya ngono na filamu zao,wanaouza vitu ama vyakula vitamu like soda,juisi, sugary food,junky foods,drugs za kufanya ujisikie vizuri,mfano tu suala la ngono tu limeweka binadamu kwenye utumwa Mana Kuna pleasure ambayo sio ya kitoto yaani katika pleasure zote duniani nadhani ya ngono inaongoza na ndio hiyo kila kiumbe kinapigana kiipate,hata jogoo anatoa chakula ili apewe mzigo so akapewa makucha marefu na magumu na miguvu mingi kuliko joke the same to man vs woman.


I really enjoy human mind. It's the worst thing ever and best thing ever.
It's either your assets or liabilities.
It's depends upon you or how to harness that powers.


Yaani hakuna uwekezaji mzuri hapa duniani Kama kuwekeza kwenye mind yako.

Raha Ni kilevi, to feel good ,na watu kazi kubwa wanayofanya ama kuhangaikia Ni kutaka ku feel good,so Kuna triggers kibao za kukupa cheap dopamine like social media
 
Mwaka 2017 May ni mdau niliye shawishika sana kujiunga na jamii forum, kabla ya hapo nilikuwa nasoma tu na kupita hivi na sikuwa member. Ikaja thread moja kutoka kwa kijana machachali ontario kuhusu forex nikasoma na nikashawishika sana, kwa kipindi hicho nilikuwa mwa watatu chuo so kuna course moja tulio soma BAF inaitwa international trade ndani yake kuna forex, so haikuwa ngumu kwangu haikuwa ngumu sana kuelewana na ONTARIO.

Moja ya mifano aliyoitajija Ontario ni kijana huyu sandile shezi kutika south africa nikamfuatilia sana, nikaona interview zake alivyo acha chuo nakujiunga na forex na kutoboa kichwani mwangu moto uliwaka zaidi nikaona maisha si haya naenda kuyapatia

Nikajikita kusoma na kufungua demo account kama njia ya kujifunza pia nikawa mdau sana wakusoma vitabu vya kiyosaki, trump n.k hivi na soma hadi leo. Nikajiunga na magroup ya whatsapp na telegram nikawa member wa Ontario si unajua tena pesa ndugu zangu. Sikuwai kufungua real account cos nilikuwa na maisha yakuunga unga sana baada ya kumaliza chuo nikaona ngoja nijipe muda, nikaanza kuona wadau wanaanza kulia kuhusu Ontario kengere ikagonga kichwani nikabidi niwe ndugu mtazamaji tu. Nikaja jifunza kwa Robert kiyosaki usingie kwenye biashara ambayo hauwezi ku-control mtaji wako hasa forex hata kama biashara ina uhalisia ukiona hauwezi control capital tako achana nayo kupoteza ni dakika sifuli toka hapo nikapiga chini.

Sasa kijana huyu kutoka south anatafutwa na polisi na inasemakana ameitelekiza familia yake na hajulikani alipo na amekimbia na pesa za watu.

Ndugu zangu wana chuo hakuna pesa ya haraka haraka maisha ni mapambano leo ni mwaka sita toka nimalize chuo hata tobo bado sijalipata na BAF yangu, sio kwamba kichwani ni mweupe kwenye caree yangu najua sana cos huwa na zifungia kampuni binafsi mahesabu na kuwasaidi kwenye masula ya kodi TRA

NOTE: Vijana someni someni shule ndo mkombozi achana na forex japokuwa ni biashara halali ila usijingize kuendesha maisha yako itakuletea matatizo , muda unatumia kujifunza forex kajifunze kutengeza bajaji/ pikipiki na carpenter huku unasubilia ajira kutoka kwa government



Nitasoma baadae,nikapambana na Mufti kwanza aniamabie why Idd iwe kesho na siyo leo
 
Back
Top Bottom