stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Umeishiwa hoja umebaki kutukana tu basi sawa. Unasema sio soko ni kitendo, hata kuuza viazi mviringo ni tendo.
si unaona kabisa uko nje ya mada viazi mviringo vimeingiaje apa, and yes ni kitendo my point ni uelewa kwamba hakuna kitu kinaitwa FX MARKET haipo na haiwezi tokea kila mtu anatrade kwa makubaliano but its different from what mnafanya mt4 ila kwanza sio trading ni gambling na hakuna chochote mnauziana pale zaidi mnatapeliana