Forex sio utapeli na ninajuta kuchelewa kuiamini

Hakuna mtu amesema Fx ni scam, kingine amini unachoamini lakini kaa ukijua forex trading may make you rich if you are a hedge fund with deep pockets lakini for the average retail trader ni bahati nasibu, mwisho nikutakie safari njema.
 
Point yangu ni kwamba huwezi kuishi kwa ku trade kwa hizo $100, mitaji midogo inabidi utumie leverage kubwa hapa ndipo utajua hujui cause utakuwa una throw away all the rules of risk management and probably blow up your account kwa hio ndugu yangu nitabaki kukuambia hizo account za dola 100 kuwa successful na to make a living kwa hio mitaji it is close to impossible.

Endeleeni kuota unaweza badili $100 kuwa $10k in a year, kama una hio strategy i guarantee you you will become millionaire within several months, sema amen!! even if you start with $50.

Nisikukatishe tamaa wakati mwingine bahati inaweza kuwa kwako...
 
Mkuu as long as ni side hustle na hautumii pesa ya kuendeshea maisha yako basi we pambana.

Usisikilize maneno ya waliofeli forex, kufeli kwao haimaanishi na wengine ndio watafeli.

Hata biashara zingine zina ups and downs za kutosha na sio wote wanaopata faida, lakini still watu wanaendelea kutake risks na kuzifanya over and over and over.
 
Hakuna mtu amesema Fx ni scam, kingine amini unachoamini lakini kaa ukijua forex trading may make you rich if you are a hedge fund with deep pockets lakini for the average retail trader ni bahati nasibu, mwisho nikutakie safari njema.
Bahati nasibu kwako kaka usigeneralize, your journey is not everyone's journey.
 
Sio bahati ni maarifa.....
 
Siwezi kusema na knowledge kubwa ila inatosha kunipa confidence, ninajua risk management, some strategies i prefer supply and demand with few indicators, kwa mwaka mzima sitarisk zaidi ya 1%, hivyo hata nikipata loss haitoniaffect
fanya kutrade na live account ndiyo uje humu na ushuhuda......pambaf
 
You're right nigger
 
Sahihi kabisa 100% .., I do this business na nimekula matunda yake sana!, it is the best business, with lowest risk kabisaa kama ume ielewa kikamilifu (yaani una risk hela kidogo sana, like 1% ya capital yako per trade, and with proper risk to reward ratio and a simple strategy utavuna pesa), unatakiwa atleast two to three years ya kujifunza kikamilifu., sio kitu ya miezi miwili mitatu, pengine kama unajifunza kila siku, asubuhi hadi jioni kwa hiyo miezi mitatu na uwe na bidii unaweza kufaulu, ila sio rahisi hivyo, but ni possible, kuna watu wepesi kushika mambo na wenye bidii.
 
Utapeli ni nini ?

Is it a guaranteed income ? Jibu ni hapana...

Is it Risky ? Very....

Ni jambo la kumshauri mtu afanye ? Hapana.....

In short no one can predict the markets kuna variable nyingi sana sasa jiulize za ups and downs, uwezekano wa kuchoma mtaji wote n.k. kama its worth it wewe endelea ila kama sio kuna mambo mengi concrete ambayo guarantee ya positive outcomes ni kwenye range ya 90 % Yaani income stream is guaranteed in long run and your capital is safer
 
Mimi hapa niko na positive experience na hii biashara ya forex.,
yale umeandika ni ukweli na pia sio ukweli., ni ukweli kama mtu hana proper knowledge ya forex., na pia kauli yako sio ukweli kwa yule alie na uelewa kikamilifu, unaweza ku project where the market is headed ukielewa fundamental analysis.., kwa mfano, vita vya Ukraine na Russia na impact yake Europe ilikua obvious Euro na Pound zitashuka dhamani, na dollar ya marekani, gold na oil kupanda.., hapa nimevuta hela ndefu sana!!..,
Tazama vile US dollar ilipanda against major currencies na Euro na Pound kuporomoka.., ilikua obvious sana, ama pengine ni kwa vile mimi naelewa na prediction yangu ilikua 90% correct.., ila in forex unahitaji kukua 30% correct to make a profit kama unaelewa kile unafanya..,

EURO/USD.., tokea mwanzo wa mwaka, hizi ni weekly charts,


GBP/USD (Pound against Dollar)


hapa kama unge invest kshs 200 (Tsh 4000).., ungekua na Ksh.20,000 (Tshs. 400,000) sasa hivi, na kama wewe uko na account kubwa where u can enter a bigger position, hiyo Tsh.400,000 unaweza multiply by 100 ungekua na Tshs 40,000,000., tokea January hadi sasa hivi na pengine ungekua ume risk maybe Kshs 1000 (Tshs. 20,000) incase the market goes a gainst u..,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…