NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wakimweka wa bara itaonekana wamemuondoa coz ni mzenji, wakimweka mkristo watasema wamemuondoa coz ni muislamu!Sasa atakaeingia anapaswa awe mwanamme muislamu mzanzibari !!!kuna jina teuliwa naliona limeandaliwa tena aliwahi tumika kama Waziri kiongozi wa smz na Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi aliepokewa na Mwinyi junior!!!kiswahili ni JUA tafsiri ya jina lake kiarabu!! mtumishi humble,calm, visionary,patriotic na intelligent!!!nimemuona tayari anakuja na ni mkali kama jpm!!!huyo Ndio FDR WETU!!!?Underline
Go back to school.Wakimweka wa bara itaonekana wamemuondoa coz ni mzenji, wakimweka mkristo watasema wamemuondoa coz ni muislamu!Sasa atakaeingia anapaswa awe mwanamme muislamu mzanzibari !!!
Siasa za Bongo no schooling my friend!!japo nitazingatia coz mara mwisho nimeota NIPO na jk akiniambia nikajifunze kifaransa sijui kwa nini!!!?Go back to school.
WAKATI nikiwa Mbunge nitatafuta angalau niwe na master's!!Go back to school.
Mkuu Tumia akili tangu aandike hii mada hajarudi tena...
Kwani mkuu Pascal Mayalla huwezi kutuambia huyu jamaa ni nani?
Mungu akusaidie.WAKATI nikiwa Mbunge nitatafuta angalau niwe na master's!!
Hyu lazma ana visasi vingi sana. Hatufai kwa sasa.Ni watu wawili tu wanafaa hapo Mimi au Dr.Bashiru Ali Kakurwa
HopelessHaya mambo yanawenyewe wakulima tukalime mvua zimeamua sasa
Tunataka Rais Bora Zaidi huyu wa sasa hivi tumepigwa.kama kweli mnaijali hii nchi mtupatie Rais mwingine.Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Tumia akili naona ule wakati wa kumweka kando unachelewa mno, katangaza kupanda bei ya mafuta dunia akinasibisha na vita ya Ukraine v/s Urusi lkn hasemi yeye na serikali yake wanachukua hatua zipi kupunguza makali ya mfumo wa bei.Hivi nyie Wazee wa huko humuoni mambo yalivyoparaganyika? Kumbukeni basi hata ndugu zenu mliowaacha Kijijini maana bei ya bidhaa haishikiki. Ambao hawajakulia kwenye mboga Saba wanajua naongea nn.
Hahaha!!!! huu mwaka huu mwaka huu mwaka..Kama mnamuua Muueni tu wazee twafa huku
Shukurani mkuu kwa taarifa yako fikirishi,Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Hawezi kukujibu mambo ni moto Sana kajichimbia sehemu akisubiria UJUMBE mwingine atuletee!!!Shukurani mkuu kwa taarifa yako fikirishi,
Vipi makamu wa Rais atakuwa Vuai Nahodha au? Je waziri mkuu atakuwa huyu huyu Mzalendo KMk au tutarajie mwingine
Daaaaaha hatari natamani niamke asubuhi nisikie fulani kapinduliwaHawezi kukujibu mambo ni moto Sana kajichimbia sehemu akisubiria UJUMBE mwingine atuletee!!!
Mkuu kwa habari ya leo Mzee Mangula kuachia ngazi sisi wa huku kidongo cheusi tunazidi kuona Giza tororo hata pa kupapasa hakuna.Hawezi kukujibu mambo ni moto Sana kajichimbia sehemu akisubiria UJUMBE mwingine atuletee!!!