God is sovereign and forever he will be!The wheels are turning...' blood, blood everywhere '.
Kwa maana hiyo hapo juu hii awamu ya rais Samia Suluhu Hassan ni awamu ya tano au ya sita?Mkuu, kama nimeelewa vizuri hicho kipengere ni kwamba endapo Magufuli angefariki either mwaka hu au mwakani then mama ilikua ruksa kugombea mara 2, yaani 2025 na 2030 lakini kwakua Magufuli alifariki 2021, miaka 4 kabla ya uchaguzi mkuu means mama anakua kashikiria kwa muda wa miaka zaidi ya 3 and hence hiyo clause 4 hapo ulio inukuu inamuondolea sifa ya yeye kugombea mwaka 2030, anatakiwa kumuachia mwingine!
Tumalize topic moja moja kwanza mkuu; hili swali lako mi sina majibu naloKwa maana hiyo hapo juu hii awamu ya rais Samia Suluhu Hassan ni awamu ya tano au ya sita?
Mwaka ukiisha ndio iweje sasa! 😆😆😆Huu Mwaka unakawia Sana kuisha aysee. Ni matamanio yangu huu mwaka ungepita zake mapema kwa speed ya 5G.
Upo wapiUzi mpya!!
Nadhani Magamba matatu aliandika ajaye ni muislamu!! Ngoja Tuone!Last digit za miaka ya FDR ni 3 na 5, kwetu zita'comply na mwaka 2023 na 2035 ile kuleta hiyo miaka 12.
Raisi Mwinyi anakujaje kuwa tena Raisi Mwakani ?
Asking who ? Is simple question sababu ni kama multiple choices unaweza kubashiri na kupatia. The question is How operation 'next stage' is going to be executed ? ama How is this operation 'next stage' is executed ?, Sababu pengine execution was already granted. Hayo ndio maswali
Huu!tunatarajia yatimie kabla ya mwaka kuisha!!Upo wapi
Itapendeza zaidi ya sana.Huu!tunatarajia yatimie kabla ya mwaka kuisha!!
Natamani Dr mwinyi awe Rais wa Tanzania.yupo vizuri Mara 100 ya huyu mama.Huu!tunatarajia yatimie kabla ya mwaka kuisha!!
Mnatarajia hawa mawaziri kama waziri wa nishati wa Sasa hivi kutupeleka huko?yaani mawaziri wazuri waliondolewa wamekuja mawaziri jamii ile ya kuendeleza maslaji Yao inabidi mfanye mabadiliko.Alafu iweje muone Rais Magufuli kuwa mharibu nchi kuliko kina kikwete? Ni kweli Magufuli anamapungufu Yake ila naona he was more visionary kuliko baadhi ya watangulizi wenzake .Mna deni Kwa Watanzania ya kutuletea visionary leader mwingine huyu suluhu hajafikia hata nusu ya Magufuli.Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Ina Maana mkuu Tumiaakili huyo roosevelt wa huku kwetu nae atafia madarakani kama wa huko??au sijaelewa kuwa nae hatostaafu na kuendelea na Maisha??sawa tunakubali kuwa "ilitokea Marekani na itatokea na huku kwetu"!!Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Aliekuambia ni Makamba nani ndugu??we SUBIRI tu !!unafikiri dola Huwa wanakurupuka?Mnatarajia hawa mawaziri kama waziri wa nishati wa Sasa hivi kutupeleka huko?yaani mawaziri wazuri waliondolewa wamekuja mawaziri jamii ile ya kuendeleza maslaji Yao inabidi mfanye mabadiliko.Alafu iweje muone Rais Magufuli kuwa mharibu nchi kuliko kina kikwete? Ni kweli Magufuli anamapungufu Yake ila naona he was more visionary kuliko baadhi ya watangulizi wenzake .Mna deni Kwa Watanzania ya kutuletea visionary leader mwingine huyu suluhu hajafikia hata nusu ya Magufuli.
Bwawa la Nyerere linamaliziwa na sasa wameshaachia maji yaingie kwenye turbines, usikariri habari mkuu KIjakazi.Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.
Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Sisi huku tunaomba Samia aongozi hata miaka 100. Tumpate wapi rais Kama mama!!Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Bwawa la nyerere Bora lisiishe Mana sukuma gang watakwambia jpm hoyee. Mama mamiradi yote ya jpm achana nayo Mana ukimaliza tu sifa zote ni kwa jpm siyo wewe. Angalia pale salenda sukuma wanampongeza jpm badala yakoLkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.
Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.