passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Hizi miradi ni kwaajili ya nchi sio Magufuli.kwa hiyo condition mojawapo ni lazima liishe na ni lazima iishe.na ndiyo Magufuli ndiyo aliyethubutu kuanza kuzitekeleza Kwa hiyo hata mfanyaje lazima asifiwe.Bwawa la nyerere Bora lisiishe Mana sukuma gang watakwambia jpm hoyee. Mama mamiradi yote ya jpm achana nayo Mana ukimaliza tu sifa zote ni kwa jpm siyo wewe. Angalia pale salenda sukuma wanampongeza jpm badala yako
Samia kashafeli kwenye baadhi ya Mambo mfamo kumfungia Mbowe na bado hajaaza utelezaji wa katiba mpya.Na pia tunahitaji visionary leader angalia mama kawaweka mawaziri wa Aina gani kaacha mawaziri wazuri.Sisi huku tunaomba Samia aongozi hata miaka 100. Tumpate wapi rais Kama mama!!
Sawa lakini kama ni hawa tutasubiri Sana hayo maendeleo anayoyasema.Al
Aliekuambia ni Makamba nani ndugu??we SUBIRI tu !!unafikiri dola Huwa wanakurupuka?
Uarabu wake ukiombwa uuweke hadharani unaweza kufanya hivyo?.Bora mrundi kuliko muarabu
Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.Najua chawa Wake wapo humu wakimtafuta wa kumvisha kengele!! LAKINI ukweli ni kwamba Mama amekiuka maagizo aliyopewa mwanzoni kabisa Operation ilipositishwa!! Nenda Kasome upya maagizo 18 aliyopewa mwanzoni kabisa!! amekiuka agizo la 11 kuhusu mikopo mikubwa!!Ndugai alitumwa aseme lakini IQ ndogo ya Mama hakutambua Ndugai kapata wapi ujasiri ule!!kaingia mkenge!!kama alivoingia mkenge kwenye gazeti la uhuru kuhusu kugombea kiti hapo 2025!!
Hata Magufuli alikuwa analindwa.Hizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
JPM aliugua moyo kwa zaidi ya miaka kumi, aliingia ikulu 2015 alianza kuugua kabla ya 2010.Hata Magufuli alikuwa analindwa.
Sasa MTU kusema tusikopekope ovyo kakosea?kama jamaa alivyosema hapo mama ni Wa Muda tu.alafu huwa jamaa akisema amesema.Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.
Jamaa ni Mungu au?. Kukopa JPM alikuwa akikopa kwa siri, hadharani anawakandia wazungu lakini akishuka anamfuata Dotto na kumwagiza akaonane na hao hao wazungu aliokuwa akiwatukana mbele ya hadhara.Sasa MTU kusema tusikopekope ovyo kakosea?kama jamaa alivyosema hapo mama ni Wa Muda tu.alafu huwa jamaa akisema amesema.
Kwa hiyo humuamini jamaa?tusubiri sasaJPM aliugua moyo kwa zaidi ya miaka kumi, aliingia ikulu 2015 alianza kuugua kabla ya 2010.
Ndo maana mama kaambiwa asikopekope ovyoJamaa ni Mungu au?. Kukopa JPM alikuwa akikopa kwa siri, hadharani anawakandia wazungu lakini akishuka anamfuata Dotto na kumwagiza akaonane na hao hao wazungu aliokuwa akiwatukana mbele ya hadhara.
Alimradi negativity tu. Huo mradi hata haujaisha tayari watu wanajisemesha kama vile wao ndiyo decision makers.Bwawa la Nyerere linamaliziwa na sasa wameshaachia maji yaingie kwenye turbines, usikariri habari mkuu KIjakazi.
Mbuyu uling'ooka utakuwa mchika??????Hizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
Induga hakusema kama mlevi.Ndugai msipandishe sana chati, ni wale wale wa kundi la ukanda wa RIP Magufuli, aliropoka maneno ambayo ni ya kuongea Bar ukiwa na marafiki zako.
Ulinzi wa samia haupo kwa mabeyo pekee ni mfumo nzima wa nchi!!mfumo ukikosea una kutema tu hata kama ni kipenzi wananchi!!si mmeona edo japo alikubalika Sana lakini alikosa vyote?Hizi naziona ni kama vile ramli za wale jamaa wa JPM, tukumbuke Mabeyo alimhakikishia SSH ulinzi kipindi chote cha urais wake.
FDR hakufunga viongozi wa chama cha Republican na aliruhusu hata mipango ,taasisi na sheria zake kupingwa mahakamani bila shida.Lkn FDR angalau alikuwa intelligent man, hakubomoa USA bali alijenga USA, FDR alijenga Hoover Dam Bwawa la kuzalisha umeme wa Maji, kwetu Bwawa la Nyerere linapotezewa siajabu hata mwishowe kubomolewa, alijenga US Highway System ambayo alikopi kutoka NAZI Germany na mengine mengi, FDR hakukata umeme USA bali aliboresha, FDR hakuwaambia Viongozi wa USA waibe na kubomoa USA kwa kula kwa urefu wa kamba bali alikemea corruption na kujenga USA.
Hivyo wakati mwingine kuwa muangalifu unapojaribu kulinganisha mambo, kuna vitu havilingani na siyo sawa kuvilinganisha.
Edo aliutaka urais wa 2015 kabla ya ule wa 2005, ilijulikana na alishajipanga miaka mingi.Ulinzi wa samia haupo kwa mabeyo pekee ni mfumo nzima wa nchi!!mfumo ukikosea una kutema tu hata kama ni kipenzi wananchi!!si mmeona edo japo alikubalika Sana lakini alikosa vyote?
JPM ndiye rais aliyekopa kuliko wote tangu 1961 na Ndugai akiwa spika alikaa kimya, aliufyata kama haoni kilichokuwa kikiendelea.Induga hakusema kama mlevi.
After Induga's speech there is a [emoji22][emoji22] story