Mi naona nyie haters ndo mnahangaika, mkwere ametulia zake habari hana.......anawacheki tu.Mkwere kashikwa pabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona nyie haters ndo mnahangaika, mkwere ametulia zake habari hana.......anawacheki tu.Mkwere kashikwa pabaya
Ni kweli baba alikuwa fisadi ila kiasi chake sio sana.Vipi kuhusu ufisadi ...kwako fred
Hili eleza wewe unaejua alifisadi nini na wapi. Usimuulize Fred.Vipi kuhusu ufisadi ...kwako fred
Najaribu kukitafuta kile kipande cha video ambacho mtoto wa msoga anatamka kuwa rais hatotoka kaskazini,naona kimekuwa adimu mitandaoni.Vita ya watu wa kaskazini na watu kutoka pwani. Wasukuma haituhusu hii.
Wewe umeshindwa kutulia huyo mnafiki mwenzio atatuliaje?Mi naona nyie haters ndo mnahangaika, mkwere ametulia zake habari hana.......anawacheki tu.
Upewe maua yako.Magufuli ameiharibu nchi vibaya sana ukiangalia hata hizi siasa za uchawa na kuzunguka nchi nzima na msururu wa magari yeye ndio ameanzisha. Alikuwa na kasoro kubwa sana ya kuigawa nchi na kutofuata ushauri wa wataalamu. Hauwezi kuwa na kiongozi anakiuka maadili na wewe unamkingia kifua kama Rais. Hapo lazima utaleta matatizo makubwa sana. Mambo yalikuwa mengi C.A.G prof Assad ni mtu makini sana. Lakini JPM akaja kukataa ushauri wake na kumchafua. Hauwezi kufanya kila kitu wewe mwenyewe lazima uwe na timu ya watu makini na wenye maono. Ukichagua team kisa ni kabila moja na wewe au mnatokea kanda moja hauwezi kufanikiwa hata siku moja. Maana hata ukiambiwa mabaya ya watu wako hautoamini. Alimuamini sana Makonda, Kigangwala wakaja wakamwuangusha vibaya sana. Mwishowe alikosa mtu wa kumteua mpaka Bashiru Ally alipewa vyeo viwili. JPM alitakiwa ajenge team ya watu ambao wako competent katika nafasi zao. Mwisho wa siku akaja kumkaribisha Rostam na kumpa mradi wa gesi na kumpa kiwanda Morogoro. Rostam alipiga hela kipindi cha Kikwete, Magufuli na Samia. Tujiulize kuna tofauti katika awamu hizi. Tofauti ya Magufuli na kikwete ni Wizara tu. Kikwete alitoka wizara yamambo ya nje kwa hiyo upigaji wake ulitegemea kusafiri na kuomba misaada. Na JPM alitoka wizara ya ujenzi upigaji wake ulitokana na miradi ya ujenzi. CCM kama chama kikuu cha serikali inabidi iunde team hauwezi kuendesha nchi ukiwa na kiongozi mwenye elimu ya kuunga ya form four katika kamati kuu ya chama. CCM waamke waiangalie Rwanda na pia waaangalie CV za viongozi wao. Haya mambo ya uchawa na yalishafanyika enzi za Mobutu hakuna jipya duniani. Tusipoangalia tukiendelea hivi kila Rais anaekuja na kumkandia Rais aliyepita na kuwaza kupiga hela. Ndani ya miaka kumi ijayo tutakuwa kama Congo sitanii. Maana uzembe unaanza polepole unakuja kushtuka mambo yameshaharibika.
Watu wa namna hii ndio tunapaswa kuwapa ikulu.Mm nimejifunza jambo moja kubwa toka kwa Lowasa. Lowasa alikuwa mwaminifu hata kwa mkewe, hakuwahi kuwa na kashfa ya kuwa na michepuko.
Well said[emoji120]Maisha ya dunian ni survive for the fittest. Hakuna anaekupenda Zaid ya Mungu wako na hakuna anaetaka umpite kwa utajiri au umashuhuri zaid ya baba yako. Ukijua hilo life utalibalance ndio maana kuna kitu inaitwa mikataba. Kwangu Mimi hakuna sehemu tulipoteza chance muhimu kama 2005. Lowassa angeshika urais baada ya mkapa hii nchi ingekuwa mbali sana. Watu wakaacha kiongoz wakamweka msanii. Alipoingia ikulu kakuta hazina imejaa pesa akaanza kugawa kila Kijiji million 50. Wajanja wakapita nazo. Baada ya lowassa wamweke magufuli hii nchi ingekuwa Singapore. Lakin ndio hivyo tena tunachojua ni simba na yanga lakin kujua tutakuwa wapi miaka 40 ijayo ni ngumu. Ndio maana vitu vya hovyo vinapewa vipaumbele vile vya ukweli hakuna mwenye muda navyo. Kitu pekee tunachozalisha kwasasa ni chawa.
Nyie vinabo mnachekesha kwakweli.....ngoja niwapuuze tu kama afanyavyo mwenyewe!Wewe umeshindwa kutulia huyo mnafiki mwenzio atatuliaje?
Naona yuko Ethiopia 🇪🇹 huko
Hahahahahaha walimwengu mkasherekea mzalendo wa Africa kufa na taifa likapona. Membe alisema bahari imetuliaJiwe alikuwa siyo mtu, yule alikuwa shetani na nusu.
Out of context kabisaUjinga na uzembe wa J.K ndio ulifanya kwa mara ya kwanza Urais usiwe na mtu alieandaliwa ndio tukapitisha mtu haraka haraka. Tukaja kupata Rais wa kwanza alieleta ukabila wa wazi wazi katika serikali . Na sasa tunaona S.S.H anafuata nyayo za Rais aliyepita. J.K angekubali kumalizana maana Lowasssa ndiye aliyekuwa amejiandaa vizuri kwa ajili ya Uchaguzi wa 2015. Vile vile kwa kuwa walitofautiana Uongozi wake ungekuwa wa kitofauti na J.K. Hata J.P.M huko aliko akiangalia Serikali inavyoendeshwa, Kizimkazi imekuwa Chato mpya na Watu wa visiwani wamekuwa Wasukuma wa zama hizi atashangaa ana kujilaumu kwa nini hakusikilizi washauri. Hakuna nchi ambayo ina machafuko ilipata Uhuru kwa njia ya amani. Unapoongoza viongozi wajao wata-refer uongozi wako katika kufanya maamuzi yao. Utamwambia nini Mama kuhusu kizimkazi mama wakati J.P.M alijenga Airpot Chato ?
I stand to be corrected naomba uniquote na unikosoe nirekebishe nilipokosea. Thanks in advance.Out of context kabisa
Utakua na issues ila namna ya kuweka ujumbe imekua changamoto
Soma title ya thread na message ya FredI stand to be corrected naomba uniquote na unikosoe nirekebishe nilipokosea. Thanks in advance.