mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Kumekuchaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vema.Uwe wewe.Hiyo ya "ainuke fulani anisaidie kupokea zawadi mimi najisikia kamchoko" haifai.Kitambi sio hoja mbona Nepi anacho?
Uchawa.Mheshimiwa Mbunge wa Monduli anafaa katika nafasi ya kumsaidia Mkuu kwenye sekta ya Katiba na sheria (nafasi iliyoachwa wazi) na Mhe Gekul
Uchawa.Mheshimiwa Mbunge wa Monduli anafaa katika nafasi ya kumsaidia Mkuu kwenye sekta ya Katiba na sheria (nafasi iliyoachwa wazi) na Mhe Gekul
Maslahi ya Ukatoliki Serikali?.Country first,urafiki baadae,na ndiyo uzalendo wenyewe
Kikwete anastahili pongezi kwa kuwa na uwezo wa mpaka kukata jina la rafiki yake kwa maslahi mapana ya nchi.
Hakuna anayemuweza JK nchi hii.
Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza,Fred Lowassa akihojiwa na Millard baada msiba wa Lowassa ameongea mambo kadhaa kuhusu baba yake. Moja ya swali aliloulizwa ni kipi hawezi kusahau kutoka kwa baba yake.
Fred amesema kitu kikubwa alichokuwa nacho mzee wake ni 'Loyalty' akiita kama 'kufa na mtu wako' kwani katika historia yake ya uongozi yote hajawahi kumsaliti rafiki hata mmoja na ndio kilichomjengea heshima mzee Lowassa na amewafia rafiki zake wote kwenye siasa.
======
Swali(Mwandishi Paschal): Kipi ambacho hutasahau kutoka kwa Baba?
Fred Lowassa: Niseme Loyalty, yaani ni mtu ambaye mimi amenifundisha kiswahili wanaita 'kufa na mtu wako'. Yaani akisema Paschal ni rafiki yangu hata aje nani kumwambia nini, anasema hapana, mimi Paschal namuamini ni rafiki yangu na angekaa nae mpaka mwisho na ndio jambo limemjengea heshma na upendo kwa watu wengi sana kwasababu yeye hakuwahi kumsaliti rafiki yake hata mmoja katika historia yake ya uongozi yote, ni mtu ambae amewafia rafiki wote mwanzo mpaka mwisho.
Hilo ni jambo kubwa na la kipekee sana ambalo kwakweli kwa wanasiasa ni wachache sana wenye kipawa hicho. Amewafia watu wake wote vizuri sana, nadhani hilo jambo mimi nimejifunza, namshukuru Mungu sana.
Hivi umri wa Fred Lowasa ni miaka mingapi? Mbona kama amezeeka haraka? Na nimeona Alihitomu O level na kwenda Chuo UK sijaona A level alisoma wapi? Na umri wake hajaweka hadharani, Kwenye speech yake siku ya mazishi kama niliona anakula Tambuu hivi, wanaemfahamu yuko vizuri kuwakilisha jimbo lake kichwani kweli? Au Chadema waingie na miguu yote jimboni lile?Fred Lowassa akihojiwa na Millard baada msiba wa Lowassa ameongea mambo kadhaa kuhusu baba yake. Moja ya swali aliloulizwa ni kipi hawezi kusahau kutoka kwa baba yake.
Fred amesema kitu kikubwa alichokuwa nacho mzee wake ni 'Loyalty' akiita kama 'kufa na mtu wako' kwani katika historia yake ya uongozi yote hajawahi kumsaliti rafiki hata mmoja na ndio kilichomjengea heshima mzee Lowassa na amewafia rafiki zake wote kwenye siasa.
======
Swali(Mwandishi Paschal): Kipi ambacho hutasahau kutoka kwa Baba?
Fred Lowassa: Niseme Loyalty, yaani ni mtu ambaye mimi amenifundisha kiswahili wanaita 'kufa na mtu wako'. Yaani akisema Paschal ni rafiki yangu hata aje nani kumwambia nini, anasema hapana, mimi Paschal namuamini ni rafiki yangu na angekaa nae mpaka mwisho na ndio jambo limemjengea heshma na upendo kwa watu wengi sana kwasababu yeye hakuwahi kumsaliti rafiki yake hata mmoja katika historia yake ya uongozi yote, ni mtu ambae amewafia rafiki wote mwanzo mpaka mwisho.
Hilo ni jambo kubwa na la kipekee sana ambalo kwakweli kwa wanasiasa ni wachache sana wenye kipawa hicho. Amewafia watu wake wote vizuri sana, nadhani hilo jambo mimi nimejifunza, namshukuru Mungu sana.
Hala hala asije kukujibu kwa lile swali lake la kishari.Hachomoi
“Kwani nimechomeka nini?”. Ndio mswahili huyo!Amechomeka wapi?
Inashangaza sana kusema kweli.Strange. Siku zote naelewa kuwa wanasiasa hawana kitu kama urafiki wa kufiana. Wao wanachokuwa tayari kufia ni maslahi tu.
Kuna hata tuhuma kwamba Fidel Castro alimsaliti “rafiki” yake Che Guevara. Kwamba alikuwa akimuona Che kuwa “idealistic” sana na fikra zake za kuwasha vita za ukombozi dhidi ya mabeberu dunia nzima. Wakati Castro anataka kutawala Cuba yake kwa utulivu hata kwa kuelewana kiasi na US.
Nashangaa sana kuwa Lowasa pamoja na akili kubwa aliyokuwa nayo ya kutengeneza mitandao ya uhakika ya kisiasa na kifisadi aliishia kukabidhi nafsi yake kwa JK? Eti rafiki yake wa “kufa na kuzikana”? He couldn’t see through the man? Huo ni ushuhuda wa kipekee. Wafaransa wanasema mtu wa aina hiyo bila shaka alikuwa NAIVE kweli kweli.
RIP Statesman.
Ni kweli kabisa,muda ulikuepo mwingi tu karibia miaka 10 kuyamaliza. Pride,pride,pride.Hili jibu la Fred limekuja kupigilia msumari wa mwisho kwa nini jina la JK halikutajwa kwenye mazishi ya Lowassa.
Kumbe JK anaonekana msaliti kwenye familia ya Lowassa. Palikuwepo na muda mrefu wa kurekebisha haya mambo, sijajua kwanini yakaachwa mpaka yafike hapa.
Funzo nimelipata hapa, kumbe duniani kuna wakati mnaweza kuishi kama marafiki, lakini mwishowe mkaja kuzikana maadui.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app