Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Nimeelezea kiundani makosa ya aliyekuwa Best friend wa marehemu naomba uniquote na unirekebishe ni hilo tu ndugu yangu. Pia nimeelezea makosa yake yalivyopelekea nchi kuwa katika hali iliyopo sasa.Soma title ya thread na message ya Fred