Fred Lowassa: Baba hakuwahi kumsaliti rafiki yake

Upewe maua yako.
Kongole kwa bonge la mchango.
Umemaliza kila kitu ndugu Madwari Madwari .
 
Mm nimejifunza jambo moja kubwa toka kwa Lowasa. Lowasa alikuwa mwaminifu hata kwa mkewe, hakuwahi kuwa na kashfa ya kuwa na michepuko.
Watu wa namna hii ndio tunapaswa kuwapa ikulu.
Sio mtu mpaka anatembea na rafikinwa watoto zake!!??
Mpaka wanamuziki!!??
H
 
Well said[emoji120]
 
Kuna siku JK atakuja kuliongelea tu hili swala,ngoja tumpe muda.
 
Out of context kabisa

Utakua na issues ila namna ya kuweka ujumbe imekua changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…