Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Nimeelezea kiundani makosa ya aliyekuwa Best friend wa marehemu naomba uniquote na unirekebishe ni hilo tu ndugu yangu. Pia nimeelezea makosa yake yalivyopelekea nchi kuwa katika hali iliyopo sasa.Soma title ya thread na message ya Fred
sina habari kama msabaha naye hatunaye !Kosa la JK ni kumteua Lowassa Waziri Mkuu...hizi kelele zote kisa alikua Waziri Mkuu ..
NB : hivi mazishi ya Mh Msabaha na Mh Dr Kamala ni lini ?
na ile mvua ya mawingu ya kutengenezwa na wavietnam kujaza mabwawa ya kufua umemeLowasa angeleta umeme wa Richmond tatizo lingeisha
AISEE,Mm nimejifunza jambo moja kubwa toka kwa Lowasa. Lowasa alikuwa mwaminifu hata kwa mkewe, hakuwahi kuwa na kashfa ya kuwa na michepuko.
Narudia kwa Mara ya tatu I stand to be corrected . Naomba uniquote na unikosoe nijirekebishe nilipokosea.Soma title ya thread na message ya Fred
oooh!Jiwe alikuwa siyo mtu, yule alikuwa shetani na nusu.
Message sentmimi Paschal namuamini ni rafiki yangu na angekaa nae mpaka mwisho na ndio jambo limemjengea heshma na upendo kwa watu wengi sana kwasababu yeye hakuwahi kumsaliti rafiki yake hata mmoja katika historia yake ya uongozi yote, ni mtu ambae amewafia rafiki wote mwanzo mpaka mwisho.
Hilo ni jambo kubwa na la kipekee sana ambalo kwakweli kwa wanasiasa ni wachache sana wenye kipawa hicho. Amewafia watu wake wote vizuri sana, nadhani hilo jambo mimi nimejifunza, namshukuru Mungu sana.
We ni mjinga pimbi wew hujui chochote wakati ENL anagombea Rais Nani ? Kuku wa maziwa wewe!!Kwahiyo mbaya wa Lowasa ni nani
(a) magufuli aliyempora ushindi kama inavyodaiwa na kumsweka gerezani mkwe wake, Mume wa Pamela lowassa.
(b) Jk ambaye wanadai alichagiza jina lake lisipelekwe NEC
(C) sitta na mwakyembe waliomwandama bungeni ajiuzuru.
Huyu ana uspesho gani.
Mbona Pinda na malecela walikatwa?
Tatizo akili huna, na hata ukiwa nazo hazitakusaidia, anaposema "amewafia watu kwenye siasa" ulipaswa uelewe na unyamaze, tatizo lako kichwa chako kimegeuka kama mfuko wa kubebea tu menoVipi kuhusu ufisadi ...kwako fred
Tumekupata fred kwa hiyo bila siasa asingekufaTatizo akili huna, na hata ukiwa nazo hazitakusaidia, anaposema "amewafia watu kwenye siasa" ulipaswa uelewe na unyamaze, tatizo lako kichwa chako kimegeuka kama mfuko wa kubebea tu meno
Tatizo hilo... Yaani wewe unapenda inept leaders.Far better Magufuli/Samia kuliko Lowasa
Wewe hutoshi kwenye hiyo nafasi?Au una kitambi?Mheshimiwa Mbunge wa Monduli anafaa katika nafasi ya kumsaidia Mkuu kwenye sekta ya Katiba na sheria (nafasi iliyoachwa wazi) na Mhe Gekul
Kitambi sio hoja mbona Nepi anacho?Wewe hutoshi kwenye hiyo nafasi?Au una kitambi?