Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
- #41
Hela Ya Ngama HyoFred ni msomi sio mbaya akiwa mbumge akamtoe yule std 7 kule kwao Njombe.
Ana hela,ana maono kuliko kuwa na wabunge wanaofanya ubunge. kama kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela Ya Ngama HyoFred ni msomi sio mbaya akiwa mbumge akamtoe yule std 7 kule kwao Njombe.
Ana hela,ana maono kuliko kuwa na wabunge wanaofanya ubunge. kama kazi
Huu ujinga ndio tusioutaka ili ufanikiwe lazima uwe mwanachama wa chama tawala?Kwa Fredy Kwake ni fulsa Kama kijana mfanya biasha connection itakua kubwa upande wake
Anaiwinda nafasi Kati Ile ya Jah people ama zinginezo huko makete na njombe au ilembuka! Wenye majimbo yao wajiandae na figisu na nguvu ya njuluku!Nice and smart. Mipango ya kuingia bungeni 2025. Km hamuamini tusubiri 2025
Huyu jamaa,alikuja kwenye game la biashara ya nguo baada ya Husein pamba kali,na lobby one fashion,lakini ameweza kukuza biashara yake ya nguo zaidi ya hawa miamba wawili,hii kitu imenifundisha jambo,unaweza kuwa unafanya biashara fulani akaja mtu mwingine anafanya kama hiyo ila kwa kuongeza technic fulani akakupita kama umesimama.Mfanyabishara Wa Nguo na Kijana Wa Kikinga Fredy Ngajiro Maarufu Kama Vunjabei ameteuliwa Kuwa M/kiti Wa Kamati Ya Fedha Ya Uvccm... Vijana Tafuteni Njuruku Hakuna Namna
----
Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei jana tarehe 23 May 2021 amepitishwa na Baraza kuu la UVCCM kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati ya Uchumi, Uwezeshaji na Fedha kupitia kikao cha Baraza Kuu ambacho kimemalizika jana Makao Makuu ya CCM Dodoma.
Kamati ya utekelezaji chini ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komredi Kheri James ilikuja na pendekezo la jina la mwenyekiti huyo wa kamati ambapo baadae alithibitishwa na wajumbe kwa kura nyingi za ndio huku katibu wake akifahamika kwa jina la Rose Manumba, Baraza lilichagua wajumbe wengine wanne wa kamati kutoka bara na visiwani.
Na yeye atawapiga vilevile tena atawapiga vizuri sana maana si ana biashara ya nguo so yale madela, kofia, leso, tshirt, chupi, sidiria, tight, pedi za ccm za wakati wa uchaguzi na nyakati nyingine tayari zishapata mdhabuni/supplierHapa wanataka kupiga pesa toka kwake
Wanachokijua ni 'Kujiua' tu na Visununu.Nyie wahehe mlizidiwa ujanja na wakinga.
Kwanini aige Bakhresa nawakati yeye ni Fred.Kwa Kweli Umaarufu Huja kwa Njia tofauti...Huyu Kijana angeiga Mfano wa Bakhresa ambae pamoja na ubilionea wake anajificha sana.
Mbona nasikia sasa yuko na DC Jokate?Hongera zake kwa kweli,
Hamisa mobeto karibu ataitwa mama mh.
Sema CCM biashara zao nyingi ni mikopo kulipa matanga, muulize Shigongo hajawahi kulipwa hela zake tisheti na khanga....walichofanya walimlipa ubunge kwa kumpooza.Na yeye atawapiga vilevile tena atawapiga vizuri sana maana si ana biashara ya nguo so yale madela, kofia, leso, tshirt, chupi, sidiria, tight, pedi za ccm za wakati wa uchaguzi na nyakati nyingine tayari zishapata mdhabuni/supplier