jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.Pale Shy hakuna watu walikufa kwa ngoma kama wafanyakazi wa shirecu, aisee we utakua umekaa sana hapo mzee
Wanyantuzu ndio walimaliza hilo shirika aisee, wakina Gaki, Fresho, Mbuzi na kuna muarabu mmoja wakabaki wanatajirika kupitia pamba, chama cha ushirika kikiwa hoi.Hahaaa..napapata sana..wazee walifanya kazi..ingawa tuliondoka kitambo..sema mzee hunisimuliaga story za hapo...wanyantuzu walipiga hela sana.
Shirecu ndio iliyoujenga shy.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku wengine wakifa tayari wameshapata chanjo...Waafrika tunakataa chanjo ya corona
wakati huo huo binadamu wengine wanaiogopa corona huku wakiwa wamechanjwa
Dunia imechangamka kweli😅
Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.Wanyantuzu ndio walimaliza hilo shirika aisee, wakina Gaki, Fresho, Mbuzi na kuna muarabu mmoja wakabaki wanatajirika kupitia pamba, chama cha ushirika kikiwa hoi.
Mwenye Frester mabus ni Fred Shoo; Huyu marehemu nae Fred Shoo ( Fresho coy ) Askofu mkuu KKT Fred Shoo, Hilo Jina Fred huko Machame huenda linapendwa sana.Frester ni mwehu mmoja hivi,huyu alikua na ukwasi wa kutosha,alikua na ginnery,kiwanda cha mifuko ya kubebea mazao,kiwanda cha mafuta ya kula
Ubinafsishaji sawa, sema kiuhalisia watu walishindana kuiba, afu kama unavyosema wajanja walitumia fulsa( ilifika hatua pamba inapigwa moto ili bima ilipe), Unaona wakina mbuzi ( Jambo group) washaachana na mambo ya pamba kabisa kwa sasa.Ni kweli kabisa mana shirika lilijaza ukabila sana hasa wanyantuzu..wajanja nao wakaingia wakapiga vzr..sema kilichoua zaidi shirika ni ubinafshaji uliofanyika na mambo ya soko huria..kipindi cha utawala wa awamu ya tatu.
Ila shirecu was [emoji91][emoji91][emoji91]
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu .... Nikimkuta mbinguni sijui malaika watakuwa wamekosea wapi ... Mdhulumati Sana Huyu mzee ....Waafrika tunakataa chanjo ya corona
wakati huo huo binadamu wengine wanaiogopa corona huku wakiwa wamechanjwa
Dunia imechangamka kweli😅
Acha nife .. Sichanjiiiii ...Siyo tu, Babu Loliondo alikuwa akitibu na kutoa kinga dhidi ya Corona kwa kikombe cha jero. Aliwafanya hayo bila kuwa ba maji tiririka, sabuni, wala kuvaa kuvaa barakoa.
Mtoa tiba ya Corona babu wa Loliondo hakuhitaji hata PPEs akiwa na baraka zote za wizara ya afya na serikali, huku wakimsalimu kwa jina la JMT.
#COVID19 - Wizara ya Afya: Serikali imeanza kusambaza Chanjo ya Uviko-19 mikoa yote nchini
Salaam Wakuu, Serikali kupitia Wizara ya Afya imeanza mchakato wa kusambaza chanjo ya Uviko katika mikoa mbalimbali nchini, ugawaji wa chanjo hizi utazingatia taarifa za visa mbalimbali vya kuwapo kwa wagonjwa katika maeneo husika. My Take Tujitokezr kuchanjawww.jamiiforums.com
Tutawahoji hawa siku moja, ngoja tuchanjwe kwanza.
Nimecheze nae kwenye Ginnery .. Pamba ... Marehemu haongelewi vibaya .. Mafia Sana jamaaaFrester ni mwehu mmoja hivi,huyu alikua na ukwasi wa kutosha,alikua na ginnery,kiwanda cha mifuko ya kubebea mazao,kiwanda cha mafuta ya kula
Lilikua jizi..fisadi na dhulumati.Nimecheze nae kwenye Ginnery .. Pamba ... Marehemu haongelewi vibaya .. Mafia Sana jamaaa
Lakini wao wanasema jacket ni hizi hapaKoti la suti kwa Kiingereza ni “jacket”
Huwezi kutajirika bila kona kona.Huyu .... Nikimkuta mbinguni sijui malaika watakuwa wamekosea wapi ... Mdhulumati Sana Huyu mzee ....
Kiingereza hapo kipo wapi?Kiingereza kigumu sana. Vitu vingine kama hujui bora upotezee tu...
Huyo ni mwehu mmoja hivi hata undgu hawana,toka lini tajiri akamiliki mabasi ...ukiwa na mabasi ni mateso tupuBasi wamefanana majina..au mwenye Frester atakuwa ukoo mmoja na marehemu.
Ila kaajiri na anapata hela..jamaa tajiri.Huyo ni mwehu mmoja hivi hata undgu hawana,toka lini tajiri akamiliki mabasi ...ukiwa na mabasi ni mateso tupu
Huyo minzi yeye mwizi sasa unasemaje pesa ya uwizi ikawa imedhulumiwa,bila roho ngumu utajiri utaupata aheraAliiba alimzurumu pesa mzee minzi ambaye alikua meneja wa shirecu..walipiga hela fresho akamzurumu mamilioni..mzee minzi alifungwa alikuja kutoka jela hana moja wala mbili..kwenda kwa fresho kumuomba ampe suport ya maisha fresho alimtishia kumuua..mzee minzi alibidi aokoe awe mlokole mana ilibaki kidogo afe kwa stresss za maisha.
Wachaga wengi mali zao niza wizi na dhuluma.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mwehu mmoja hivi hata undgu hawana,toka lini tajiri akamiliki mabasi ...ukiwa na mabasi ni mateso tupu
Hahaaa..kwahiyo ni mchezo wa majizi..ila hadi kumtishia maisha ingawa ndiye aliyempa hela amhifadhie alizopiga..ili akitoka jela amrudishie na maisha yaendelee.Huyo minzi yeye mwizi sasa unasemaje pesa ya uwizi ikawa imedhulumiwa,bila roho ngumu utajiri utaupata ahera