Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa??
Kwahio tujadili nini?Post inaeleza na imejitosheleza
Umeelewa??
Kwahio tujadili nini?
Sawa, wacha nipite, ntarudiMzee hii ni kwa wasioamin kwamba CDM hawapokei ruzuku, wao wanaamin mbowe yupo kama mla ruzuku so huu ni uzi wao kama conf. Unaeza pita tu kimya kimya kama huna la kuchangia
Sema tatizo hizo claims hazina evidence but Mbowe anaongea public tena kwa kujiamin, huez ona yupo sahihi?Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Mkuu toa facts, hata wasiojua kuhusu Mbowe na wao wajueMbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
Toa facts mkuu na sio conspiracy theoriesMbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
maybe, lkn huwa siwaamini wanasiasa kwa asilimia zote. Kumbuka ni huyu huyu aliesema kuwa anae amini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, lkn ilipofika mwaka 2015 yeye akawa wa kwanza kusema kuwa Lowasa sio fisadi na mpaka leo hakuna mtu aliempima yeye akili.Sema tatizo hizo claims hazina evidence but Mbowe anaongea public tena kwa kujiamin, huez ona yupo sahihi?
Huyu naye! Kwani CDM wamemaliza deni wanalodaiwa na Mbowe? CDM wote ni wadeni wa mweneyekiti wao! Atakuwa anazimeza zote bila bakaa.
Ndilo hilo tunataka evidence wanaibiwaje??😂😂😂😂😂😂😂 kitu pekee ninachokiamini kutoka mdomoni mwa Mbowe ni pale anapowambia wanachadema Peoplezzzzzzzzzzzzzzz bila ya kujua wanaibiwa wanaitikia pawerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Ndio tunataka evidence anazimezaje?Huyu naye! Kwani CDM wamemaliza deni wanalodaiwa na Mbowe? CDM wote ni wadeni wa mweneyekiti wao! Atakuwa anazimeza zote bila bakaa.
Evidence pleaseChama cha dicteta na matapeli
Hizo ni political games zipo popote hata CCMmaybe, lkn huwa siwaamini wanasiasa kwa asilimia zote. Kumbuka ni huyu huyu aliesema kuwa anae amini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, lkn ilipofika mwaka 2015 yeye akawa wa kwanza kusema kuwa Lowasa sio fisadi na mpaka leo hakuna mtu aliempima yeye akili.