Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Huko nako kimeumana kumevamiwa utakutana na sheikh Ubwabwa na askofu Rashid...basi tu!Mkuu unajua maana ya siasa?? Duniani kote siasa IPO hivyo its game of chance sasa wewe ulitaka ile 2015 wasimuchukue Lowassa vile viti 100 wangepata wapi?? Hamna ukweli wowote unaweza patakana kwenye siasa na kwa wanasiasa kwa muda wrote.
Ukitaka matamko ya ukweli utayapata kwenye makanisa na misikitini.
Everyday is Saturday............................... 😎