Freemam Mbowe: Tumekataa ruzuku na nafasi 19 za Wabunge. Tunataka vitu vya haki

Freemam Mbowe: Tumekataa ruzuku na nafasi 19 za Wabunge. Tunataka vitu vya haki

Mkuu unajua maana ya siasa?? Duniani kote siasa IPO hivyo its game of chance sasa wewe ulitaka ile 2015 wasimuchukue Lowassa vile viti 100 wangepata wapi?? Hamna ukweli wowote unaweza patakana kwenye siasa na kwa wanasiasa kwa muda wrote.
Ukitaka matamko ya ukweli utayapata kwenye makanisa na misikitini.
Huko nako kimeumana kumevamiwa utakutana na sheikh Ubwabwa na askofu Rashid...basi tu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Viva CDM,Viva Mbowe endapo haya ni ya Kweli.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama unao ushahidi basi wakilisha vielelezo vyako TAKUKURU na kungine kokote unakotaka.
Hauna acha kubwabwaja nenda kalale kwenye mkeka wenu Lumumba.
Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Anachukua kisheria ila akija kwa misukule yake anasema hatuchukui maana hatutambui uchaguzi
Ndugu yangu watia huruma. Chukua vielelezo vyako peleka kwa Nduguyai na Lijualikali watakusaidia zaidi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Anachukua kisheria ila akija kwa misukule yake anasema hatuchukui maana hatutambui uchaguzi
Ndugu yangu watia huruma. Chukua vielelezo vyako peleka kwa Nduguyai na Lijualikali watakusaidia zaidi.
 
Kama ni hivyo basi mna serikali legevu na dhaifu kama Mbowe anajichukulia hela za Serikali hivyo na bado yuko uraiani basi ameiweka Serikali mfukoni kwake. Wakati mwingine unatokwa na povu ukiamini unaitetea Serikali kumbe unaitukanisha,upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
Achana na boya hana mbele wala nyuma kazi kuleta umbeya tu humu nakukimbilia kupiaga watu ban humu achunguzwe amezidi huyu mnaa
 
De Gea kamuiga golkipa mwenzie ila kaingia chaka...
Samahani lakini....
 
Sasa mkuu MBOWE unafikiri lile ombi lako kwenda ongea na Mama litakubaliwa kwa jeuri hii..
Maongezi haya ni kwa faida ya mama , akikataa shauri yake

Tutamtoa_Mkoloni_Mweusi_Soon_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_akisalimiana_na_Waziri...jpg
 
Sasa mkuu MBOWE unafikiri lile ombi lako kwenda ongea na Mama litakubaliwa kwa jeuri hii..
Kwanza mimi sio Mbowe 🤣 kumbe weng humu hua mna doubt tuu vile mtu akiongea juu ya flan mnajua ni muhusika. BTW hiyo sio jeuri ni msimamo wa chama chake, usiogope kusema ile kweli kisa utanyimwa ugali wa shikamoo.
 
Ni hivi , vyama vyenye haki ya kupata ruzuku hutakiwa kupeleka namba ya akaunti ya benki iliyothibitishwa na baraza la wadhamini kwa Msajili wa vyama vya siasa , hili hufanyika kila baada ya uchaguzi mkuu kwisha , kwenye akaunti hiyo ndiyo huwekwa hela za ruzuku , Chadema wala baraza lake la wadhamini hawakuwahi kumpatia Mutungi akaunti mpya ya chama , hizo hela kaweka wapi ?
acha uzwazwa we kima account ileile ya zamani ndiyo mzigo huwa unaingizwa humo kumbe mmedanganywa ili makengeza le ruzuku vizuri?? hamna akili
 
Sasa personal attacks za nn mzee? Wee weka evidence tu zinazoonyesha anafaidika na hao 19 mbona simple tu 🤣🤣🤣
YAANI mnamwenyekiti ambaye hamumjui vizuri huyo ni mpigaji achana naye kabisa mwenzenu ananufaika na hao wabunge 19 nyie mnashinda kwenye mitandao mtaolewa mwaipaya na mwenyekiti pambalu
 
Mnakataa ruzuku je watwambie chama ni miradi gani na fedha za kulipa kodi za ofisi nmnapata wapi?
 
Back
Top Bottom