Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
- Thread starter
- #121
What about yuko ofisin anachapa kaz na kilichotokea?? That's why nimesema itajulikana
u cant train them for that
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
u cant train them for that
Kweli wewe binti bhana...lini aliwai kusema awapokei ruzuku kabla ya Utawala mhutuHujui chochote!
Niambie ni lini Mbowe aliwahi kuwatangazia uchukuaji wa ruzuku?
Kwani wanaolipa au kutoa ruzuku si wapo? Wajitokeze na vielelezo vya uhakika kuwa wamemlipa Mbowe badala ya CDM. Mbona watu wanapiga ramli?Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Kwani wanaolipa au kutoa ruzuku si wapo? Wajitokeze na vielelezo vya uhakika kuwa wamemlipa Mbowe badala ya CDM. Mbona watu wanapiga ramli?Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Hujawahi kuwa na akili!! Nionyeshe hoja yenye tija uliyowahi kuleta humu jukwaani.Mbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
Usishangae mkuu ndivyo akili ndogo zilivyo.Kwani wanaolipa au kutoa ruzuku si wapo? Wajitokeze na vielelezo vya uhakika kuwa wamemlipa Mbowe badala ya CDM. Mbona watu wanapiga ramli?
what about this, kma una ushahidi kua lowasa ni fisadi nenda mahakamaniWhat about yuko ofisin anachapa kaz na kilichotokea?? That's why nimesema itajulikana
Ungekuwa na japo tone la busara, ungehakikisha unamfahamu kwanza 'mwenye' hiyo nyumba halafu ndio uje na swali hilo.Nauliza hela za kulipa pango za ofisi wanapata wapi wakati cjadema haina mradi hata mmoja tanzania
That's the same shit am talkin' boutwhat about this, kma una ushahidi kua lowasa ni fisadi nenda mahakamani
Jibu hilo hapo juu mkuu na ameongea in public kwa kujiaminKwa hiyo CHADEMA hawapokei ruzuku ?
Mbowe anasema kama yeye ni mchafu kama maccm yanavyotaka kuaminisha watu basi kipindi cha Mwendazake mahakama zingekuwa zimeshamuhukumu kwa ubadhirifu au rushwa?
That's goodJibu hilo hapo juu mkuu na ameongea in public kwa kujiamin