Freemam Mbowe: Tumekataa ruzuku na nafasi 19 za Wabunge. Tunataka vitu vya haki

Freemam Mbowe: Tumekataa ruzuku na nafasi 19 za Wabunge. Tunataka vitu vya haki

Wakati unaendelea kusubiri hilo, sisi tunachangishana buku buku kujenga ofisi. Ccm ilikosea sana kuiacha cdm kutoka kuwa chama cha siasa na kuwa imani. Kwa sasa cdm inaweza kujiendesha kwa kutegemea wafuasi wake, na sio huo mtego wa ccm wa ruzuku. Na chama kinapofikia hapo huwezi kukiua kwa nguvu za dola.

waulize nccr watakupa taarifa nzuri, huezi endesha chama bila support ya serikali ilopo mdarakani, kama bashiru alivowaambia anaweza kutumia dakika 15 tu kusambaratisha chadema vipisi vipisi
 
waulize nccr watakupa taarifa nzuri, huezi endesha chama bila support ya serikali ilopo mdarakani, kama bashiru alivowaambia anaweza kutumia dakika 15 tu kusambaratisha chadema vipisi vipisi

Ww utakuwa ni mzee lazima ndio maana unatumia mifano ya zamani. Kwa taarifa yako cdm imevuka hatua ya kuwa chama cha siasa, na sasa imegeuka imani. Vyama vyote vilivyoendelea kutegemea ruzuku ya serikali badala ya wafuasi wake vimeanguka na kudhoofika, cdm kwa sasa wameruka kiunzi hicho. Sasa hivi cdm inajenga ofisi zake nchini kwa kutumia nguvu ya wafuasi wake. Nimewahi kutabiri kuwa siku za ccm kuendelea kuwa madarakani kihalali, ama kwa wizi kama ilivyo jadi yao kwa sasa zimeisha.
 
Ww utakuwa ni mzee lazima ndio maana unatumia mifano ya zamani. Kwa taarifa yako cdm imevuka hatua ya kuwa chama cha siasa, na sasa imegeuka imani. Vyama vyote vilivyoendelea kutegemea ruzuku ya serikali badala ya wafuasi wake vimeanguka na kudhoofika, cdm kwa sasa wameruka kiunzi hicho. Sasa hivi cdm inajenga ofisi zake nchini kwa kutumia nguvu ya wafuasi wake. Nimewahi kutabiri kuwa siku za ccm kuendelea kuwa madarakani kihalali, ama kwa wizi kama ilivyo jadi yao kwa sasa zimeisha.

it will be too late pale utakapogundua kwamba chadema ni tawi la ccm, huezi kubattle chama kilichopo madarakani, na huezi kukitoa unless ni coup detat ama wananchi wenyewe waamue! if those factors arenot applicable then chama chenu kina support ya serikali nyuma plus unwritten ajenda!
 
Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Tunarudia kuwaambia kuwa "WEKENI HAPA USHAHIDI WA BANK SLIP INAYOONYESHA KUWA MBOWE/CHADEMA WANAPOKEA RUZUKU"
 
Yani waje watangaze ili iweje sasa?

Wao wanatimiza wajibu wao wa kisheria, wakishatimiza hawana haja ya kuja kujibizana na wajinga wanaoibiwa na Mbowe
Aaah basi nawe utakua mjinga sana..Kwamba wanakubali mtu achafue taasisi yao? Ebu leo ongea baya kwa Rais tuone kama utaachwa huru
 
Mbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
Unatakiwa uwe na akili finyu kama za akina afande selle au musiba kuandika upuuzi kama huu. Hata hivyo unaonekana wewe ni mmoja wa wapuuzi tulio nao nchini.
 
Unatakiwa uwe na akili finyu kama za akina afande selle au musiba kuandika upuuzi kama huu. Hata hivyo unaonekana wewe ni mmoja wa wapuuzi tulio nao nchini.
Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnang'aka
 
Aaah basi nawe utakua mjinga sana..Kwamba wanakubali mtu achafue taasisi yao? Ebu leo ongea baya kwa Rais tuone kama utaachwa huru
Hujui chochote!

Niambie ni lini Mbowe aliwahi kuwatangazia uchukuaji wa ruzuku?
 
Mkubwa anawahadaa wenzake huku yeye akipokea ruzuku kupitia mlango wa nyuma. Serikali, Mbowe na wale wabunge wa viti maalum 19 lao ni moja tu.
Nao hao 19 "wakiomba msamaha tuwapokee..." sound funny. Chadema wanajua kucheza na akili za wanachama nao wanashangilia.
 
Aliye Sema suala la kupimwa akili ni Msigwa, siyo Mbowe!
Je Msigwa alishawapima akili kina Mbowe, Lisu, Mnyika na yeye mwenyewe kwa kukanusha kuwa Lowasa hakuwa fisadi? Unawezaje kuwaamini viongozi wa namna hii kwamba watakuletea maendeleo na unafuu wa maisha!
 
Mtu kwenye akili huwezi kumtega kwa kutumia pesa akakubali hata kama ana njaa kiasi gani... !! Bravo CDM kwa hapa mmeudhihirishia umma wa watanzania kwamba nyie ni extra miles away !!
 
Je Msigwa alishawapima akili kina Mbowe, Lisu, Mnyika na yeye mwenyewe kwa kukanusha kuwa Lowasa hakuwa fisadi? Unawezaje kuwaamini viongozi wa namna hii kwamba watakuletea maendeleo na unafuu wa maisha!
Nilikuwa na nia ya kukupa taarifa tu, kwamba aliye towa hiyo kauli, siyo Mbowe! Hayo mengine hayanihusu!
Kuwaamini watu kwamba wakuletee maendeleo na unafuu wa maisha, ndiko kumewafanya wafiwa walio kuwa wanamwabudu mwanakwendazake, wawe wanapandisha mashetani, kila wanapo kumbuka kwamba Baba yao hawanaye tena!
 
it will be too late pale utakapogundua kwamba chadema ni tawi la ccm, huezi kubattle chama kilichopo madarakani, na huezi kukitoa unless ni coup detat ama wananchi wenyewe waamue! if those factors arenot applicable then chama chenu kina support ya serikali nyuma plus unwritten ajenda!

Cdm kama Chama kinaweza kweli kuwa tawi la ccm, lakini sisi wafuasi wa cdm sio tawi la ccm. Hizo story za kwamba huwezi kukitoa chama kilicho madarakani mnapigiana hapo kwenye ofisi za ccm. Hao wananchi mbona wameshaamua, bali matumizi ya muda ya vyombo vya dola ndio vinaibeba Ccm.
 
Back
Top Bottom