Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
- Thread starter
- #61
🤣🤣🤣🤣🤣 Kamanda asiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba 🤣🤣🤣🤣Muiteni Kamanda Asiyechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kamanda asiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba 🤣🤣🤣🤣Muiteni Kamanda Asiyechoka
Mnakataa ruzuku je watwambie chama ni miradi gani na fedha za kulipa kodi za ofisi nmnapata wapi?
Sasa watoa ruzuku si waje waseme in public mkuu. JPM alikua mwaribifu tuMbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
🤣🤣🤣🤣De Gea kamuiga golkipa mwenzie ila kaingia chaka...
Samahani lakini....
acha ushamba wewe unaweza kuweka evidence kuwa hafaidiki nao?Sasa personal attacks za nn mzee? Wee weka evidence tu zinazoonyesha anafaidika na hao 19 mbona simple tu 🤣🤣🤣
Yani waje watangaze ili iweje sasa?Sasa watoa ruzuku si waje waseme in public mkuu. JPM alikua mwaribifu tu
waongo ruzuku wana chukuwa ukiwabana watasema wananchi wanajitoleaga kuwalipia kama walivyodanganya uma wamechangiwa hela za kulipa faini wasiende jela kumbe Mbowe katoa hela yake.Mnakataa ruzuku je watwambie chama ni miradi gani na fedha za kulipa kodi za ofisi nmnapata wapi ?
Lazima uwe mwendawazimu kufikiria CHADEMA wapokee ruzuku, waseme hawapokei, halafu Serikali ya CCM ikae kimya!Mbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
Hii michezo wewe huijui maana uko nje ya wakatiLazima uwe mwendawazimu kufikiria CHADEMA wapokee ruzuku, waseme hawapokei, halafu Serikali ya CCM ikae kimya!
Haya ni majibu ya asiesimamia anachokiamini, ume claims nikaomba ushahid, ni vzr ukalifanyia kaz ombi lang la evidence then omba nawew evidence ntakuletea hapa.acha ushamba wewe unaweza kuweka evidence kuwa hafaidiki nao?
Na Lissu akasema Chadema wako tayari kushirikiana hata na shetani ili kuiondoa CCM madarakani.!maybe, lkn huwa siwaamini wanasiasa kwa asilimia zote. Kumbuka ni huyu huyu aliesema kuwa anae amini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, lkn ilipofika mwaka 2015 yeye akawa wa kwanza kusema kuwa Lowasa sio fisadi na mpaka leo hakuna mtu aliempima yeye akili.
Kwani lowassa ni fisadi au siyo fisadi?wengi humu hawana evidence. wanajib kisiasa au kutokana na story za kusadikika. ndio maana ukiuliza evidence wanasepa
Aliye Sema suala la kupimwa akili ni Msigwa, siyo Mbowe!maybe, lkn huwa siwaamini wanasiasa kwa asilimia zote. Kumbuka ni huyu huyu aliesema kuwa anae amini kuwa Lowasa sio fisadi akapimwe akili, lkn ilipofika mwaka 2015 yeye akawa wa kwanza kusema kuwa Lowasa sio fisadi na mpaka leo hakuna mtu aliempima yeye akili.
Wafadhiri ndo hao covid 19.Wafadhili na michango ya wananchi.
Ngoja tuwasikie na upande wa pili watoa rudhuku watuthibitishie pesa zilizoingizwa kwenye akaunti ya chama zilirudishwa?
Huyu ni sawa na mashabiki wa timu Fulani kwani mabingwa wa kutoa tuhuma hewa kwa kila mtu kwa kushindwa kwa timu yaoMbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule
Sema tatizo hizo claims hazina evidence but Mbowe anaongea public tena kwa kujiamin, huez ona yupo sahihi?
Mbowe hata akichukua ruzuku hawezi kuwaambia wafuasi wake maana alishawageuza misukule