Freeman Mbowe afika Uwanja wa Amani kumuaga Mzee Mwinyi

Ficha ujinga wako...Acha udini hautakupeleka sehemu nzuri kwani mwisho wake ni mbaya sana.
Mgonjwa wa akili mwingine huyu hapa🤣🤣🤣🤣

Jibu hoja wewe kimer
 

Hakudai nafasi ya kusema!
 
Laigwanan Abubakar Mwamba Mboweyou
Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?

Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Acha wivu roho mbaya mpaka misibani...
 
Makamanda wengine kina Lema, Sugu, Heche, Lissu wako wapi? Nimeshangaa sisikii Lema akilalamika kutopewa nafasi ya kuzungumza msibani.
 
Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?

Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)[emoji23]
Chuki itakutafuna vizuri. Na wewe rudi uvae magamba ya miti au uchi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…