Freeman Mbowe afika Uwanja wa Amani kumuaga Mzee Mwinyi

Familia wameshindwa kitumia busara …kuwapa ACT Nafasi ya kutoa pole kama Chama mshirika kwenye SMZ?
 
UUNGWANA NI VITENDO
 
Hujamuona yule kiongozi wa vyama vya siasa aliyetoa salamu kwa niaba ya vyama vyote vya siasa ni ACT Wazalendo
Sijui TADEA Yule …..Makamu wa Kwanza Wa Rais Zanzibar anatoka Chama washirika kwenye SMZ huwezi kumuweka Kandi kama tunahubiri maridhiano …au ashindwe hata kufika Mangapwani
 
Hivi Mwamba atapewa Podium ateme Chehe kama ilivyokuwa Monduli.
 
Anatukuza uarabu, eti anaitwa ustaadh aboubakar! Ujinga tuu mbona Duni alipokuwa mgombea mwenza hawakumuita Mathayo?
Wewe umenielewa, kuna wajinga wanaamini Mbowe anamaanisha kumbe ni mzaha tu kitu ambacho hakifai
 
Wewe umenielewa, kuna wajinga wanaamini Mbowe anamaanisha kumbe ni mzaha tu kitu ambacho hakifai
Wee jamaa bila Shaka utakuwa mshamba sana ! yaani kushangaa kanzu kwa watu wa Dar unaonyesha utakuwa mtu duni usiyejua chochote kile

Pole sana
 
Wee jamaa bila Shaka utakuwa mshamba sana ! yaani kushangaa kanzu kwa watu wa Dar unaonyesha utakuwa mtu duni usiyejua chochote kile

Pole sana
Ukitaka matusi na kashfa nikupe taarifa mimi ndiye niliyempa shetani mapendekezo ya matusi mazito.

Uache ujinga na uchawa mbweha wewe.
 
Hivi huwa kuna ulazima kuigiza uvaaji wa kanzu?

Maana haya ni maigizo kwa kamanda wetu ( nasubiria koment za wagonjwa wa akili)😂
Hakuna ulazima, ni kuheshimu utamaduni wa watu tu.

Hata mimi nilivyoenda Zanzibar kwenye kisomo nilivaa kanzu na kofia ingawa nilipopewa kitabu nilitoa udhuru mimi Komredi.

Halafu nilivyoenda Wall St nilivaa suti.

When in Rome, do as Romans.
 
Hakuna ulazima, ni kuheshimu utamaduni wa watu tu.

Hata mimi nilivyoenda Zanzibar kwenye kisomo nilivaa kanzu na kofia ingawa nilipopewa kitabu nilitoa udhuru mimi Komredi.

Halafu nilivyoenda Wall St nilivaa suti.

When in Rome, do as Romans.
Umejibu kiutu uzima sana, una akili njema.

Wagonjwa wa akili wamepuyanga sana kwa majibu ya kijinga
 
Hakuna ulazima, ni kuheshimu utamaduni wa watu tu.

Hata mimi nilivyoenda Zanzibar kwenye kisomo nilivaa kanzu na kofia ingawa nilipopewa kitabu nilitoa udhuru mimi Komredi.

Halafu nilivyoenda Wall St nilivaa suti.

When in Rome, do as Romans.
Mbona Marais au viongozi wa Marekani wakienda uarabuni huwa hawavai kanzu na baraghashia ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…