LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hivi mbowe ataendelea kukamatwa mpaka lini. Wakati huu ni wa kampeni si.wakati wa police kuzuia kampeni.

Ccm wanafanya kampeni mpaka ngoma.wanacheza mitaani.

Zile 4 R zinaeleweka kwa upande wa polisi au hazijawafikia. Tumeona kariakoo wamejivuta kwenda kuokoa watu lakini wakisikia chadema mbio.

Hii nchi wengi wana matatizo ya akili walahi
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi kwenye Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi

Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.

Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.

Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo

======

UPDATES

=======

TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Polisi leo tarehe 22 Novemba,2024 katika Pori la Halungu lililopo Wilaya ya Mbozi wamevamia Msafara na kumkamata Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe pamoja na Viongozi mbalimbali aliokuwa ameambatana nao .

Msafara wa Mwenyekiti wa Chama Taifa ulikuwa umeshafanya Mikutano ya kampeni katika Kata ya Itaka,Kijiji Cha Itewe na Kata ya Halungu Mjini.

Awali mkutano wa kwanza uliokuwa ufanyike katika mji wa Mlowo uliozuiliwa na Polisi pamoja na wenyeji wetu ambao ni Chama Cha ACT Wazalendo kutualika kushiriki kwenye mkutano wa pamoja ila Polisi walikataa na kutawanya wananchi Kwa mabomy ya machozi .

Kabla ya kuwakamata walifuatwa na gari ya Polisi ambayo ilikutana nao njiani na hivyo iligeuza na baada ya mwendo kidogo walikuwa njia imefungwa na gari za polisi ndipo walipofungua milango Kwa nguvu na kuanza kuwashambulia waliokuwa kwenye Magari hayo na kuwakamata Kwa nguvu.

Waliokamatwa ni :
1. Mhe.Freeman Mbowe
2. Mhe. Joseph Mbilinyi - Mwenyekiti Kanda ya Nyassa
3. Mhe. Pascal Haongo- Mbunge wa Mbozi mashariki Mstaafu
4. Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Wilaya ya Mbozi
5. B Appolinary Boniface - Mkuu wa Digital platform
6. Paul Joseph - Afisa habari Kanda ya Nyassa
6. Calvin Ndabila - Afisa habari Kanda ya Nyassa
7. Mdude Nyagali - Mwanaharakati na mwanachama wetu
8. Wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Taifa Bwire,Adamoo na Lingwenya

Jeshi la Polisi wameondoka na viongozi wetu na hajajasema wanawapeleka wapi na mpaka Sasa hatujui wanashikiliwa wapi na Kwa sababu gani.

Chadema Kwa hatua ya Sasa tunasema yafuatayo;

1. Tunalaani kitendo hiki kwani kinaonyesha wazi kuwa ni mkakati wa Polisi kuhujumu kampeni za chama chetu Kwa kushirikiana na CCM
2. Polisi wawaachie mara Moja na bila masharti yoyote ili waendelee na ratiba ya Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
3. Wanachama na Viongozi wetu waendelee na kampeni za kuondoa CCM madarakani .
4. Tunaialika jumuiya ya kimataifa kuja kushuhudia uvunjifu wa Haki za kidemokrasia Kwa vyama vya upinzani nchini katika uchaguzi huu unaoendelea nchini .

Imetolewa Leo Ijumaa tarehe 22 Novemba, 2024

John Mrema - Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje

CHURA pamoja na kuwa ni KIZIWI lakini bado anaona.
 
Hivi mbowe ataendelea kukamatwa mpaka lini. Wakati huu ni wa kampeni si.wakati wa police kuzuia kampeni.

Ccm wanafanya kampeni mpaka ngoma.wanacheza mitaani.

Zile 4 R zinaeleweka kwa upande wa polisi au hazijawafikia. Tumeona kariakoo wamejivuta kwenda kuokoa watu lakini wakisikia chadema mbio.

Hii nchi wengi wana matatizo ya akili walahi
Siku huku wanapiga muziki mkubwa utafikiri ni kampeni ya kuwachagua Wabunge,Madiwani na Rais kumbe ni wenyeviti wa mitaa.Yaani ccm wao wakifanya hivyo ni halali chama kingine kikifanya hivyo kinavuruga amani ya nchi.
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi kwenye Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi

Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.

Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.

Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.

Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo

======

UPDATES

=======

TAARIFA KWA UMMA

Jeshi la Polisi leo tarehe 22 Novemba,2024 katika Pori la Halungu lililopo Wilaya ya Mbozi wamevamia Msafara na kumkamata Mwenyekiti wa Chama Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe pamoja na Viongozi mbalimbali aliokuwa ameambatana nao .

Msafara wa Mwenyekiti wa Chama Taifa ulikuwa umeshafanya Mikutano ya kampeni katika Kata ya Itaka,Kijiji Cha Itewe na Kata ya Halungu Mjini.

Awali mkutano wa kwanza uliokuwa ufanyike katika mji wa Mlowo uliozuiliwa na Polisi pamoja na wenyeji wetu ambao ni Chama Cha ACT Wazalendo kutualika kushiriki kwenye mkutano wa pamoja ila Polisi walikataa na kutawanya wananchi Kwa mabomy ya machozi .

Kabla ya kuwakamata walifuatwa na gari ya Polisi ambayo ilikutana nao njiani na hivyo iligeuza na baada ya mwendo kidogo walikuwa njia imefungwa na gari za polisi ndipo walipofungua milango Kwa nguvu na kuanza kuwashambulia waliokuwa kwenye Magari hayo na kuwakamata Kwa nguvu.

Waliokamatwa ni :
1. Mhe.Freeman Mbowe
2. Mhe. Joseph Mbilinyi - Mwenyekiti Kanda ya Nyassa
3. Mhe. Pascal Haongo- Mbunge wa Mbozi mashariki Mstaafu
4. Mwenyekiti wa Chama Cha ACT Wazalendo Wilaya ya Mbozi
5. B Appolinary Boniface - Mkuu wa Digital platform
6. Paul Joseph - Afisa habari Kanda ya Nyassa
6. Calvin Ndabila - Afisa habari Kanda ya Nyassa
7. Mdude Nyagali - Mwanaharakati na mwanachama wetu
8. Wasaidizi wa Mwenyekiti wa Chama Taifa Bwire,Adamoo na Lingwenya

Jeshi la Polisi wameondoka na viongozi wetu na hajajasema wanawapeleka wapi na mpaka Sasa hatujui wanashikiliwa wapi na Kwa sababu gani.

Chadema Kwa hatua ya Sasa tunasema yafuatayo;

1. Tunalaani kitendo hiki kwani kinaonyesha wazi kuwa ni mkakati wa Polisi kuhujumu kampeni za chama chetu Kwa kushirikiana na CCM
2. Polisi wawaachie mara Moja na bila masharti yoyote ili waendelee na ratiba ya Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
3. Wanachama na Viongozi wetu waendelee na kampeni za kuondoa CCM madarakani .
4. Tunaialika jumuiya ya kimataifa kuja kushuhudia uvunjifu wa Haki za kidemokrasia Kwa vyama vya upinzani nchini katika uchaguzi huu unaoendelea nchini .

Imetolewa Leo Ijumaa tarehe 22 Novemba, 2024

John Mrema - Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
ni muhimu sana wakakamatwa na kuwajibishwa ipasavyo ili iwe fundisho kwa makaidi wengine, ikiwa wamevuruga utaratibu wa kampeni na ratiba ambayo jeshi la Polisi tayari wanayo..

hata hivyo, jambo la maana zaidi ni afadhali kupoteza simu na fedha kuliko poteza maisha ya hao waleta fujo na vurugu.

Ni muhimu wazingatie ratiba inayofahamika. Kinyume cha hapo ni fujo na vurugu 🐒
 
Moja kati ya kazi ya kisenge niliyowahi kufanya ni kuajiriwa na Jeshi la Polisi Tanzania,nashukuru Mungu niliacha baada ya kuchoka na mambo ya kisenge kisenge
 
Siku nchini ikiingia kwenye umwagaji damu, ipo kwenye civil war hao unawashangilia CCM ,watakuwa wamepanda jet kukimbia nchi kwa kwa ujinga waliosababisha wenyewe ndipo utaelewa maana ya ujinga ulio comment.
Jifunze kutafakari ubaya wa haki za kisiasa zinavyovurugwa.

Mmeandikisha watoto,mmekata wagombea wa upinzani!!!

Mmeona haitoshi mmeamua kuvuruga mikutano na kuwakamata Viongozi.

Hii ni dalili kuwa CCM, imeshindwa, uchaguzi wa serikali za mitaa, Naona mwakani uchaguzi mkuu, mambo yatakuwa mabaya zaidi.

MWANAMKE AMEAMUA KUWA KATILI ILI ABAKI MADARAKANI KWA GHARAMA YOYOTE ILE.

Shime Watanzania tuangane kwa UMOJA wetu, kwa maslahi ya Taifa letu, tuzuie kumrudisha huyu MZANZIBARI madarakani anataka kuitumbukiza nchi yetu shimoni.

Mzee Jakaya Kikwete mbona upo kimyaa?? Mpe shule namna ulivyoongoza nchi ukiwa na wabunge wa upinzani bungeni,namna ulivyovumilia uhuru wa vyombo vya habari.

Please Mzee JK mambo yameanza kuharibika, "SASA NA KATIKATI ULOSEMA IMEANZA TAYARI"

Nakulilia 😭😭Tanzania ilijengwa na wenye moyo na inaharibiwa na wenye choyo"
SUGU.

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania kwanza , Samia baadae.
 
CHADEMA ni wapumbavu. Hayo mazungumzo yasiyokuwa na kibali cha polisi ni uvunjifu wa amani. ACT ndo wanatoa vibali vya mikutano siku hizi? Waache utoto.
 
Back
Top Bottom