Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Shida ya CCM wamejaa vilaza sana. Kamwe hawawezi kujua mambo ya kimataifa ya namna hiyo.Hii mbona IPO duniani pote hata Harris Kamara alikiri before official announcement
Alafu waonee huruma tu. Wali invest hela nyingi sana kuweka mabosheni pale Chadema. Wajumbe hela wamekula na wameweka viongozi imara wa kupambana na hiyo CCM yao