The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 705
- 1,082
People's power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini lissu ana mungu, Kwa sasa tunakwenda kuongeza wanachama wa kutosha kupitia majukwaa mbalimbaliAtimaye Dikteta kaondolewa
Unashauriana nini wakati umeshindwa? Kuleta vurugu au kupindua meza?uharaka wa kukubali kushindwa wa nini? Si angesubiri mpaka ashauriane na team yake?
Alafu what next ,wakati uchaguzi kura ziaongeauharaka wa kukubali kushindwa wa nini? Si angesubiri mpaka ashauriane na team yake?
Japo ana uccm lakini Mbowe hajafikia huko,Kubalini mwamba kanyooshwauharaka wa kukubali kushindwa wa nini? Si angesubiri mpaka ashauriane na team yake?
🤣🤣🤣Sasa unalia nini?
kukubali matokeo haraka haraka ni kuwavunja moyo waliompigia kuraAlafu what next ,wakati uchaguzi kura ziaongea
boni yai wakalabwake kamwambiaWakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
View attachment 3209714
Dakika za jiiiiooooni
Mkuu kwani hujui kazi ya mawakala? ilikua sio lazima kusubiri announcement. Pia before announcement Mbowe concede matokeo. Hoja yako iko wapi?Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
514 nadhaniMkuu kwan kashinda kwa kura ngapi kati ya hizo 900+
Mwenzetu sijui anatumia nini kufikiri, sasa wakala ana kazi ganiKwani mtu hawezi kujua ameshindwa kabla ya matokeo kutangazwa?
Kwa sasa kumebaki tabiri mbalimbali, mara hivi mara lile........Tundu Lissu sio mtu wa ku negotiate nae hata kidogo, so kuanzia ndani ya CHADEMA watashindwana sana na migogoro itakuwa mikubwa na CHADEMA ifakufa siku hadi siku.
Pili, upande wa Chama Tawala, Tundu Lissu sio mtu wa kuongea nae jambo lolote la kiuongozi na kukubaliana nae kwa siri, anasema kila kitu hadharani akitoka tu anaita wana habari anamwaga upupu wote, so CDM kwa maana nyingine haita aminika ndani ya CDM yenyewe na upande wa Chama Dola yaani CCM, sbb ya Lissu, hivyo CDM inaenda kupukutika kabisa najua ngumu kuamini..! Time will tell..!!