Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Walatini wanasema " Res ipsa loquitur"

Yani "Facts speak for themselves "

Even Steve Wonder can see it. Chadema ni Chama cha wakristu.

So it's up to you to decide whether you want it 15 plus 15 or you want it 16 plus 16 cause 15 plus 15 is equal to 30 and 16 plus 16 is equal to 30 ( two/too?)

"Far ark" them lames Get down with Samia and Nchimbi.


Thank me later

🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nincompoop
 
Nipende kuwapongeza Chadema kwa kukamilisha zoezi la kupata uongozi mpya wa Chama kwa amani.

Pia nipende kuwakaribisha CCM wale wote ambao hawakuridhika na matokeo ya aina yeyote.

Karibuni CCM mpate faraja.
 
📌 Wachache wataelewa na this time around mambo yatakuwa hovyo sana upande wa pili.

Maana kampeni za kikanisa zilianza Mwaka jana kwa kina sana kuondoa regime inayoleta utata katika Imani yao.
100% Fact
 
Si ndio furaha yenu ccm?!


CHADEMA wengi watakuja CCM, wiki hii utaona wafuasi wa Mbowe kwa makundi wakija CCM, na CCM haina ubaguzi inapokea kila mtanzania ili mradi tu akiri Imani na kufuata Katiba ya Chama Cha Mapinduzi..!!

Sijafurahia matokeo haya hata kidogo
 
Au Yericko Nyerere unasemaje? 😅
"Machinery ya chama"
IMG-20250122-WA0001.jpg
 
Mbowe alishindwa kuusoma upepo toka mwanzo,angeweza kuikwepa aibu hii kwa kutogombea, mwisho yamemkuta.
Sijui kwa nini mnaiona kama aibu, si ndio demokrasiatunayoimba kila siku wakuu?

Mimi nampongeza sana, he's the father of democracy, hamjui tu kwamba angekuwa mwingine hata vurugu angelica ili ashinde.
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
Mbowe kasema account yake Twitter haifanyi kazi tangu juzi anashangaa huyo ni nani anaandika hvyo vitu na anatokea wap kasema ikifika saa Tano kamili ataongea na waandishi wa habari.



Natania wadau!
 
CHADEMA wengi watakuja CCM, wiki hii utaona wafuasi wa Mbowe kwa makundi wakija CCM, na CCM haina ubaguzi inapokea kila mtanzania ili mradi tu akiri Imani ya Chama Cha Mapinduzi..!!

Sijafurahia matokeo haya hata kidogo
Hakuna kundi la mbowe watakuja ccm, wako strong sana..
 
Back
Top Bottom