Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
NincompoopWalatini wanasema " Res ipsa loquitur"
Yani "Facts speak for themselves "
Even Steve Wonder can see it. Chadema ni Chama cha wakristu.
So it's up to you to decide whether you want it 15 plus 15 or you want it 16 plus 16 cause 15 plus 15 is equal to 30 and 16 plus 16 is equal to 30 ( two/too?)
"Far ark" them lames Get down with Samia and Nchimbi.
Thank me later
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nasikia mlimuhonga sultan? Ni kweli?Kwamba Chadema mlikuwa mnasubiria Lisu awe Mwenyekiti ndio itakuaje Sasa?
Hatari sana... Tutarajie phase 2! na vile hawana wabobevu wa strategies lazima wataliwa sana!Mwamba kaila hela kisha kawaingiza chakike🤣
Waruke mkono wakanyage maviHongereni chadema kwa kupata mwenyekiti mpya.
Na wale ambao mna hasira karibuni sana CCM.
100% Fact📌 Wachache wataelewa na this time around mambo yatakuwa hovyo sana upande wa pili.
Maana kampeni za kikanisa zilianza Mwaka jana kwa kina sana kuondoa regime inayoleta utata katika Imani yao.
Si ndio furaha yenu ccm?!
Mbowe anastahili heshima kubwa ndani ya chadema,badala ya kubezwa.. amefanya mengi mazuri ndani ya chama.Mhe Jenerali aweka mpira kwapani
Achana na mimi, na machungu sana kwa kuingizwa mkenge na Yericko NyerereMmebaki na kejeli tu sasa🤣
"Machinery ya chama"Au Yericko Nyerere unasemaje? 😅
Sijui kwa nini mnaiona kama aibu, si ndio demokrasiatunayoimba kila siku wakuu?Mbowe alishindwa kuusoma upepo toka mwanzo,angeweza kuikwepa aibu hii kwa kutogombea, mwisho yamemkuta.
Maneno ya wazushi hao vibaraka wenu ,ndio maana nimesema Samia ni Muungwana angekuwepo yule aliyemhonga Dr.Mihogo huyo mtu wenu angekuwa jela au kakimbia Nchi.Nasikia mlimuhonga sultan? Ni kweli?
Ccm hii inayotoa fomu moja ya uchaguziCHADEMA wengi watakuja CCM, wiki hii utaona wafuasi wa Mbowe kwa makundi wakija CCM, na CCM haina ubaguzi inapokea kila mtanzania ili mradi tu akiri Imani ya Chama Cha Mapinduzi..!!
Sijafurahia matokeo haya hata kidogo
Sikushangai Kwa sababu wewe mkristu. Hamnaga busara nyie watu. Ila nimekusamehe.Nincompoop
Mbowe kasema account yake Twitter haifanyi kazi tangu juzi anashangaa huyo ni nani anaandika hvyo vitu na anatokea wap kasema ikifika saa Tano kamili ataongea na waandishi wa habari.Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Hakuna kundi la mbowe watakuja ccm, wako strong sana..CHADEMA wengi watakuja CCM, wiki hii utaona wafuasi wa Mbowe kwa makundi wakija CCM, na CCM haina ubaguzi inapokea kila mtanzania ili mradi tu akiri Imani ya Chama Cha Mapinduzi..!!
Sijafurahia matokeo haya hata kidogo
wajifunze kwa CHADEMAHaya mambo huwezi kuyaona CCM
ni muda sasa wanademokrasia wa kweli na wapenda haki toka ccm kuhamia chademaHongereni chadema kwa kupata mwenyekiti mpya.
Na wale ambao mna hasira karibuni sana CCM.
Kibaraka amekuwepo kama Rais wa TLS,Makamu Mwenyekiti,Mgombea Urais wenu na Mwanaharakagi.Mmebaki na kejeli tu sasa🤣🤣🤣