Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hakuna taasisi yenye demokrasia kama yenu itakayowazuia katiba mpya kabla ya uchaguzi.Sasa in kuwaelimisha wananchi wengine kwamba upinzani sio dhidi yao Bali ni kwa ajili yao ili wakiunge mkono wakati wa uchaguziNimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Umeona ee? 😅Hatimae sasa tufanye mambo mengine
Chadema ijipange kwa uchaguzi wa 2030, huu wa mwaka huu ni Samia mitano tena, usijipe matumaini yasiyokuwepo.Sasa vita inahamia kwa CCM !
CCM mjiadae kwa kelele za TAL mitaani kuelekea October 2025.
Nimemiheshimu lema kwa hili
Lucas Mwashambwa na Erythrocyte wanabubujikwa na machozi mwisho wa uchawa kwa ayattolah Mbowe.Lucas Mwashambwa anabubujikwa machozi ya furaha kama kamwagiwa pilipili 😁😁😁😁
Kabisaaaa..uko poa lakini??Umeona ee? 😅
UzushiKawaingiza choo cha watoto mbogamboga Kala pesa zao
Haoana chezea mangi weweKawaingiza choo cha watoto mbogamboga Kala pesa zao
Wa Afya kabisa. Hofu kwakoKabisaaaa..uko poa lakini??
juzi tu ulikuwa unamtukana lissu aibu yako shekh wa ujijiChadema ijipange kwa uchaguzi wa 2030, huu wa mwaka huu ni Samia mitano tena, usijipe matumaini yasiyokuwepo.