Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Niko gud Mamii, kiguu na njia barabarani kutwa kuchaWa Afya kabisa. Hofu kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko gud Mamii, kiguu na njia barabarani kutwa kuchaWa Afya kabisa. Hofu kwako
Tumekusikia Ngosha kaeni mkao wa kula turudishe heshima ya Tanganyika yetuSisi CCM wa Kanda ya ziwa tunawaomba Chadema mtuletee Lissu kama mgombea tutamuunga mkono,tumechoka dharau mara tuitwe Sukuma Gang mara tuitwe wachawi ni wakati wa kuonyeshana makali sasa wajue sisi ni jeshi kubwa tukitaka jambo letu linakuwa.
Hongereni Chadema kwa uchaguziNimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Bonge la shule kwa demokrasia. Kuna Chama hata kushindana hakupo, ni chawa mmoja kupendekeza tuThis is democracy
Uzuri au ubaya ni kwamba, humjui Lissu wala Mbowe so huu ni mtizamo wako binafsi.Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!
Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!
Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
wakadaiane huko walikokutanaAbduli katapeliwa na Wenje...
Ha ha haaa, Shikamoo Mkuu.Sijaelewa bado, Chadema ni chama cha Wachaga au tubadili topic?
atafanya nini?Naamini mheshimiwa Lisu atatufikisha nchi ya ahadi.
Watanzania tuna imani nae sana.
Alitaka ale pesa za VeggiesMbowe alishindwa kuusoma upepo toka mwanzo,angeweza kuikwepa aibu hii kwa kutogombea, mwisho yamemkuta.
📌 Wachache wataelewa na this time around mambo yatakuwa hovyo sana upande wa pili.Walatini wanasema " Res ipsa loquitur"
Yani "Facts speak for themselves "
Even Steve Wonder can see it. Chadema ni Chama cha wakristu.
So it's up to you to decide whether you want it 15 plus 15 or you want it 16 plus 16 cause 15 plus 15 is equal to 30 and 16 plus 16 is equal to 30 ( two/too?)
"Far ark" them lames Get down with Samia and Nchimbi.
Thank me later
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
wamekimbilia wapi hawa? Kuna wengine umewaachaCc:
Tlaatlaah
Nyani Ngabu
Luacs Mwashambwa
e.t.c.
Atafanya mengi ambayo bibi mimacho yamemshinda.atafanya nini?