Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sisi CCM wa Kanda ya ziwa tunawaomba Chadema mtuletee Lissu kama mgombea tutamuunga mkono,tumechoka dharau mara tuitwe Sukuma Gang mara tuitwe wachawi ni wakati wa kuonyeshana makali sasa wajue sisi ni jeshi kubwa tukitaka jambo letu linakuwa.
Tumekusikia Ngosha kaeni mkao wa kula turudishe heshima ya Tanganyika yetu
 

Attachments

  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 1
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
Hongereni Chadema kwa uchaguzi
 
Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!

Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!

Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
Uzuri au ubaya ni kwamba, humjui Lissu wala Mbowe so huu ni mtizamo wako binafsi.
Mihemko au calculated decision, vyovyote vile wewe huna both moral authority and authenticity to justify that.
Wamelltaka lao, wamelipata. Chochote kitakachojiri, hawana wa kumlaumu, ni maamuzi yao
 
Kiukweli nimefarijika sana ndugu zangu, Yale machungu ya mchengelwa na genge lake yamepoa japo kovo bado bichi kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20250122-082858.png
    Screenshot_20250122-082858.png
    613.1 KB · Views: 2
Walatini wanasema " Res ipsa loquitur"

Yani "Facts speak for themselves "

Even Steve Wonder can see it. Chadema ni Chama cha wakristu.

So it's up to you to decide whether you want it 15 plus 15 or you want it 16 plus 16 cause 15 plus 15 is equal to 30 and 16 plus 16 is equal to 30 ( two/too?)

"Far ark" them lames Get down with Samia and Nchimbi.


Thank me later

🙏🙏🙏🙏🙏🙏
📌 Wachache wataelewa na this time around mambo yatakuwa hovyo sana upande wa pili.

Maana kampeni za kikanisa zilianza Mwaka jana kwa kina sana kuondoa regime inayoleta utata katika Imani yao.
 
Back
Top Bottom