Upara unawaka ka tako.Safi sana twende na Lissu!
View attachment 3209690
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upara unawaka ka tako.Safi sana twende na Lissu!
View attachment 3209690
Usisahau ku convert aiseee 😅😅😜.Mungu akulindeNiko gud Mamii, kiguu na njia barabarani kutwa kucha
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Lisu ana nini? masikini a kuchngiwa. Yeriko has nothing to loose!Tawaambia nini watu? Mwenzake Yeriko angakau jana alijiwah kwenda kujibembeleza kwa lissu wakat wa lunch akae karribu kujichekesha chekesha mzee wa fursa ku copy na ku paste. Bon yai akajifanya mbishi..ona sasa
KajinyeaLucas Mwashambwa anabubujikwa machozi ya furaha kama kamwagiwa pilipili 😁😁😁😁
Mr. Mbowe utakumbukwa vizazi na vizazi; umekubali kushindwa Katika sanduku la kura, wewe ni mwana-demokrasia wa kweli. Tundu unaingia, uongozi siyo mchezo, Mbowe kamaliza muda wake wa uongozi, sasa wewe ndiyo unakabidhiwa lungu. Usifanye utani kwenye maisha ya waTanzania au la tutakugeuka popote utapoteleza na kufanya mambo ambayo siyo msingi wa Chama na Taifa kwa ujumla. Visa Hapana, tujenge Chama na NchiNimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
hawa kima niliwaambia wasibadili ID zao mambo yakienda kinyume na walivyokuwa wanaandikaCc:
Tlaatlaah
Nyani Ngabu
Luacs Mwashambwa
e.t.c.
Dictator huwa anaondolewa kwa kura? Jaribu kutunza utu wako kwenye public.Atimaye Dikteta kaondolewa
Let ua wait and see kama ataleta katiba mpya, tume huru..... Mropokaji kinachofuata ni jela, kama slaa "risasi" zingine maana hana mtetezi sasa na Nairobi haipoAtafanya mengi ambayo bibi mimacho yamemshinda.
Ahsante Mbowe... Tutakupenda Daima...Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Si ndio furaha yenu ccm?!CHADEMA kila la kheri, bila Mbowe hiki Chama kinaenda kuwa kama NCCR Mageuzi au TLP, within 1 year only, CHADEMA itakuwa kama TLP kabisa au CHAUMA najua ni ngumu kuamini
Sio azitumie kukiimarisha Chama?🤣🤣🤣Mbowe rudisha pesa za wale jamaa acha uhuni
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693
Mmebaki na kejeli tu sasa🤣Mjomba angu kweli kabisa umekubali kuachia kikoba chetu?
Mtetezi wake kwa sasa ni Mungu na sisi wananchi.Let ua wait and see kama ataleta katiba mpya, tume huru..... Mropokaji kinachofuata ni jela, kama slaa "risasi" zingine maana hana mtetezi sasa na Nairobi haipo