realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Sawa 😅Ahahahah..conversion muhim sana. Nichek kule nijue channel ya kupeleka conversion sasa🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa 😅Ahahahah..conversion muhim sana. Nichek kule nijue channel ya kupeleka conversion sasa🤣
Kwendaaa mjinga mmoja weweCHADEMA kila la kheri, bila Mbowe hiki Chama kinaenda kuwa kama NCCR Mageuzi au TLP, within 1 year only, CHADEMA itakuwa kama TLP kabisa au CHAUMA najua ni ngumu kuamini
Mzee Mwanakijiji bado tunahitaji maandiko yako hapaA new era
Baba wa DEMOKRASIA Mbowe abarikiweHii sasa ndio demokrasia, Chama kimeleta maana, asingekubali matokeo ndo ingekuwa mwisho wa CHADEMA
Wazee wa kupita bila kupingwa .......wazee wa kuweka mgombea mmoja na kumpigia kura za ndiyo au hapana.Haya mambo huwezi kuyaona CCM
Unauliza ana nini? Hebu twambie wewe una nini kwanza?Lisu ana nini? masikini a kuchngiwa. Yeriko has nothing to loose!
Mbowe kama Ibenge tuKiendacho kwa mganga hakirudi
Mkuu vipi , unaumia ukiwa wapi? Au uko Isanjandugu?Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!
Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!
Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
Huyo blanket lake limeloa na mvua ya usiku limekua zito anashinda kujifunuaTlaatlaah vipi umeamka??
Natumai utashusha uzi wa kumpongeza Lissu jentroman 😹
Umenikumbusha ile $500,000 Ibenge aliyovuta toka kwa GSM kuwapa kikosi cha pili lakini akijua kuwa hawaendi popote. Umetoa ulinganisho mzuri sana kuanzia leo Mbowe nitamuita Ibenge. You made my day 😄😄😄Mbowe kama Ibenge tu
Hongereniiii.View attachment 3209711
Kumbe wamefanya kweli?😀
Eti vipi ?Abduli katapeliwa na Wenje...
Huyo hawezi fanya hivyo labda kwa ID, maana ID yake ya Tlaatlaah ipo kwenye payroll ya chura kiziwi hangaya.Tlaatlaah vipi umeamka??
Natumai utashusha uzi wa kumpongeza Lissu jentroman 😹
Looh apishe wajameni !Atimaye Dikteta kaondolewa
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
View attachment 3209693