Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Imagine FAM angekubali tu kumpa Chama Lissu Bila Yeye Kugombea, Chama Kingereza Kushika attention katika akili za watanzania?

Uchaguzi Umekuwa wa Huru na Haki? Yes!

FAM amekubali Matokeo? Yes!

Aibu Iko wapi hapo? Zaidi sana Chama Kimejiuza Mnoo!

Utadhani Dodoma Hakukua na Mkutano wa CCM kwa namna ambavyo Chadema ilivyoshika media zote
Ndio ushangae sasa watu wanasema FAM amepata aibu, of course alitaka kushinda, ila the fact kwamba kakubali democratically kushindwa, inamfanya awe kiongozi bora sana, chama kiwe na ngumu x100 na reputation ya chama inaongezeka x100.

Hongera sana kwa CDM!
 
Chadema ilianzishwa kama chama cha mabepari yaani capitalist party kinachoamini kwenye capitalism

Waanzilishi walikuwa matajiri na walitoa pesa na mali zao nyingi ndani na nje kukiendesha

Ushindi wa Lisu kuwa chama kimechukuliwa na walalahoi wasio na hela .Kitapata shida sana kujiendesha
Sababu wengi wa walalahoi waliochukua chama ni wale wanaowaza chama kitawafanyie nini
sio wao wakifanyie nini.

Wengi walikuwa wakilia pesa haziwafikii matawini chini ili wale

Je Lisu kwenye uongozi wake ataliweza hilo asipoliweza ataingia kwenye mtafaruku na hao wa matawini muda si mrefu.Uchaguzi mkuu unakuja watataka apeleke pesa huko matawini ambazo hana

Na matajiri wenye pesa wataondoa mitaji na pesa zao Chadema baada ya mshika fuko.lao Mbowe kuondoka uongozi

Kwa sasa Chadema hakitakuwa na mvuto tena kwa matajiri
Sivyo kabisa,
Hakutakuwa na shida hiyo.
Pamoja na mambo mengine, LEMA aliliongelea hilo vizuri, msikilize hapa....


View: https://www.youtube.com/live/n4jGmCXtOsc?si=6zV5p_rsK9C-vusM
 
Ndio ushangae sasa watu wanasema FAM amepata aibu, of course alitaka kushinda, ila the fact kwamba kakubali democratically kushindwa, inamfanya awe kiongozi bora sana, chama kiwe na ngumu x100 na reputation ya chama inaongezeka x100.

Hongera sana kwa CDM!
Reputation ya chama ile ilikuwa inaporomoka now imekuwa restored, a lot of poeple walikwua wanafuatilia hili
Since 2015 a lot of people waliacha ku pay attention na hichi chama, now they are back
 
CHADEMA wengi watakuja CCM, wiki hii utaona wafuasi wa Mbowe kwa makundi wakija CCM, na CCM haina ubaguzi inapokea kila mtanzania ili mradi tu akiri Imani na kufuata Katiba ya Chama Cha Mapinduzi..!!

Sijafurahia matokeo haya hata kidogo
Tunajua kuwa msiyempenda kaja shwauni wa kijani nyie
 

Attachments

  • images (13) (1)~2.jpeg
    images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 1
Kwa ushindi huu wa Tundu lissu uchaguzi ujao utachangamka sana cdm wanakuja na nguvu mpya ccm wajipange kisawasawa
 
Back
Top Bottom