Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa kinachokuliza nini ?Hii ni njia ya mbowe kujimwambafy, Balozi kaombwa waonane blabla na baadaye CHADEMA wakapiga picha. This is neither here or there, huitwa photo-op. Unakumbuka wale vijana waliopeleka petition Ubalozi wakavurumishiwa mlangoni? Ni for shoo.
Hapana! Viongozi wa chadema alidhawahi kuwa mpaka BoB nyanga makani miaka ya 2002 na 2003 na 2004 alikuwa anagombea Ubunge I think Shinyngaacha upotoshaji chadema sio mali ya familia na ukoo?
Unajua kuwa sio Mara ya kwanza kuonana naye au nikupe Risiti..?Hii ni njia ya mbowe kujimwambafy, Balozi kaombwa waonane blabla na baadaye CHADEMA wakapiga picha. This is neither here or there, huitwa photo-op. Unakumbuka wale vijana waliopeleka petition Ubalozi wakavurumishiwa mlangoni? Ni for shoo.
Swali lingine la kijinga
kwamba eti na wewe ni sehemu ya familia ya mwenye Chama 🐒 thubutu....Swali lingine la kijinga
😅samahan comrade, samahan sana nimeghafilika kidogo,
dah nimelipua kambi yangu mwenyewe 🐒
Hapana! Viongozi wa chadema alidhawahi kuwa mpaka BoB nyanga makani miaka ya 2002 na 2003 na 2004 alikuwa anagombea Ubunge I think Shinynga
Nchimbi toka miaka ya 2000 uenyekiti uvccm hadi balozi takribani miaka 23 uongozini na kumrudisha tena ccm kama katibu, kwani hakuna wengine wanaoweza kutumikia hiyo nafasi?Itakuwa balozi wa Marekani amemwambia mbowe kuwa wewe na chama chako ni manyumbu na mafisi wakubwa. Itakuwa akaendelea kumuuliza Mbowe kuwa kwanini tangia 2004 ni wewe tu unang'ang'ania tu uenyekiti kama sumaku kwenye chuma? Kwamba kwenye chama hakuna mwingine anayeweza kuongoza isipokuwa wewe tu unayewaambia watu kuwa sumu haionjwi kwa ulimi? Itakuwa akamwambia pia mbowe kuwa ninyi kwanini hatujawahi kuwaona watoto wako au mke wako kwenye maandamano?
Hapana Makani hakuwa kuwa Mbunge ila aliwahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kuanzia mwaka 1998 mpaka 2003 na ni msukuma wa Shinyanga..Uko sahihi kiongozi,
Bob Makani alikua mbunge tu kama wabunge wengine na for sure alikua machachari mbaya sana nyakati hizo Mzee Msekwa yupo pale kitini...
lakini chama ni cha familia na ukoo flani, hata ukimchek ata Bob Makani pia licha ya kuwa muwakilishi wa kanda tofauti na kaskazini lakini vinasaba vya ukoo anavyo 🐒
sure uko sahihiHapana Makani hakuwa kuwa Mbunge ila aliwahi kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kuanzia mwaka 1998 mpaka 2003 na ni msukuma wa Shinyanga..
Jamaa aliwahi kuwa Naibu Gavana wa tz..
Chadema Haiji kupata Kiongozi multi Talent multi education na Mult disciplimary kama makani!.
Alikuwa kadi namba 3 ya Chadema na ndo walishauriana na Mtei kuanzisha chadema wakiwa na Brown Ngilulupi..
Ila cha ajabu wanaCHADEMA wengi hawajui hixi historia Mimi mwanaCCM nawashinda naweza kuelezea Historia ya CHADEMA MPALA UKASHANGAA
Bob Makani aliwahi kuwa katibu MkuuUko sahihi kiongozi,
Bob Makani alikua mbunge tu kama wabunge wengine na for sure alikua machachari mbaya sana nyakati hizo Mzee Msekwa yupo pale kitini...
lakini chama ni cha familia na ukoo flani, hata ukimchek ata Bob Makani pia licha ya kuwa muwakilishi wa kanda tofauti na kaskazini lakini vinasaba vya ukoo anavyo 🐒
Za CCM zenyewe zipoje?Siasa za Mmarekani daima ni "divide and rule".
Pia Mwenyekiti wa ChamaBob Makani aliwahi kuwa katibu Mkuu
Umeshawahi kuwasikia wanachama wa CHADEMA wakilalamikia katiba ya CHADEMA kutokuwa na kipengere kinachomzuia aliyekuwa kiongozi kugombea tena na tena?Demokrasia gani yeye ameng'owa kipengele cha katiba aongoze milele aliahidi 2023 ndio mwisho lakini yeye kwanza anataka kugombea uraisi!
Hivi CCM ipo kwenye harakati gani za kujikomboa? Kujikomboa toka kwa nani?Mbowe na Lisu ni watumishi wa mabeberu wataendelea kusaliti harakati za watanzania kuelekea kujikomboa
Yeah Katika ukuaji wa Chama cha CHADEMA, Mtu ambaye alipaswa kupewa maua Yake ni Bob Nyanga makani!..sure uko sahihi
sorry nilimix na phares Kabuye wa TLP
Yes makani alikua katibu mkuu chadema then chairman
Sawa sawa MkuuPia Mwenyekiti wa Chama
Wale vyama 13 wa CCM hawajaitwa?Kikao hicho kimetokea Leo ikiwa bado siku Kadhaa Ili yafanyike Maandamano Ya Chama Chake una maoni gani??
View attachment 2875477
Mkuu hebu fafanua!Mbowe na Lisu ni watumishi wa mabeberu wataendelea kusaliti harakati za watanzania kuelekea kujikomboa
Wale vyama 13(hewa vya CCM) mbona hawajaenda?😅😅
Huu nauona Mtego wa Serikali na mi naona ni bora isiingilie iwaache tu Waandamane maana naona Kuna Vugu vugu la chini wiki hii na ilopita amezunguka kwa mabalozi wa nchi zenye nguvu!